PICHA toka viota vywa burudani

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Jan 10, 2009
5,471
733
Haya tena IDD hii wanaenguaje na warembo wetu walitoka kama ifuatavyo katika viota mbali mbali vya burudani na maraha.. ENjoy weeknd ndio hiyooo inabeep kwa karibu

attachment.php


attachment.php
attachment.php
attachment.php
attachment.php
 

Attachments

  • IMG_6652.jpg
    IMG_6652.jpg
    31.8 KB · Views: 163
  • IMG_6650.jpg
    IMG_6650.jpg
    40.9 KB · Views: 858
  • IMG_6653.jpg
    IMG_6653.jpg
    31.8 KB · Views: 847
  • IMG_6659.jpg
    IMG_6659.jpg
    68 KB · Views: 900
  • IMG_6688.jpg
    IMG_6688.jpg
    50.1 KB · Views: 791
  • IMG_5862.jpg
    IMG_5862.jpg
    94.2 KB · Views: 7,141
Haya tena IDD hii wanaenguaje na warembo wetu walitoka kama ifuatavyo katika viota mbali mbali vya burudani na maraha.. ENjoy weeknd ndio hiyooo inabeep kwa karibu

attachment.php


attachment.php
Duh mkuu huwa unazitoa wapi hizi mie nimezinguka na hizi mbili, ya kuu hicho kikuku na ya chini hiyo shanga ya cheni
 
Mikorogo mibaya sana duu hasa huyo wa kwanza ukikutana naye usiku lazma ukimbie
 
>>>zinaa ni mbaya !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

>>>kuweni makini ukimwi upo........!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

>>> kuwa na mpenzi mmoja mwaminifu!!!!!!

>>> subiri wakati wako......!!!!

>>> tumia kondomu kupanga uzazi na mpenzi wako au mke wako tu
 
>>>zinaa ni mbaya !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

>>>kuweni makini ukimwi upo........!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

>>> kuwa na mpenzi mmoja mwaminifu!!!!!!

>>> subiri wakati wako......!!!!

>>> tumia kondomu kupanga uzazi na mpenzi wako au mke wako tu

hii we vipi? nani kaongelea zina humu?
 
>>>zinaa ni mbaya !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

>>>kuweni makini ukimwi upo........!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

>>> kuwa na mpenzi mmoja mwaminifu!!!!!!

>>> subiri wakati wako......!!!!

>>> tumia kondomu kupanga uzazi na mpenzi wako au mke wako tu
Umeeleweka mkuu.
 
Ipo aja ya kumtumia barua pepe mtendaji wa chama chetu kwani huwa anawazimia sana hususani wanaovaa cheni kiunoni!
 
duh huyo dada wa kwanza kwenye kifunda cha mguu (ankle) mkorogo umedunda

yaani hatamaniki/hana mvuto kabisa, make up ovyo, uso an miguu dunia mbili tofauti...yaani fashion ya kujichubua imepitwa na wakati sana cjui y baadhi ya wadada hawazinduki.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom