Picha - timu mpya ya baraza la mawaziri Tanzania

Mawaziri wetu wanateuliwa ili kuweka uwiano wa kimkoa/kikanda na wala sio kuleta ufanisi katika utendaji wa kazi. Jammaa anajitahidi kuipa kila kanda au mkoa angalao waziri moja ili angalao akifika huko apigiwe makofi mengi
 
Idadi kubwa mno hata nchi kubwa kama Marekani, Urusi au China hawana cabinet kubwa kiasi hicho wakati uchumi wa nchi zao ni mkubwa, sasa nchi maskini inayoishia kwa misaada mawaziri ni wa kumbwaga nadi wasio na wizara maalum.
mkuu ni kweli lakin tatizo ni ku centrolize madaraka na kutaka kutawala pia kuongoza kila kitu kutokea dar,,,,ni rai yangu tukubali kuwa suluhisho la hili ni ,ku decentrolize,,na hapa unakuja na sera ya majimbo,,,,,,sion,nafasi nzuri ya wazir wa maji kukosa usingizi na kupata suluhisho la kudumu la maji pale same,kigoma,bukoba na mtambaswala mtwara,,,volume ni ndogo sana,,atabaki kupanga namna ya kumdhibiti mnyika asimuumbue,,,atafanyia funika kombe mwanaharamu apite,,,hutaona tija ya ukweli,,,,,,so tubadili mfumo wa utawala,,,katiba mpya,,,,
 
yaaani kuna wengine wamenenepa kama wametiwa hamira...khaaaaa maushungi mwanzo mwisho yaani ni balaaaa..yaani hapo wanasubiri maposho tu

Hawawezi kuwa na ufanisi kwani wanaume kwa wanawake wote ni vitambi; wao wanafikiri ukubwa wa matumbo yao ndio afya kumbe maradhi!!! Sasa fananisha namawaziri wa marekani ,toka Rais wao mpaka mawaziri wote wako physically fit, hakuna hata mmoja mwenye kitambi!!!
 
Hawawezi kuwa na ufanisi kwani wanaume kwa wanawake wote ni vitambi; wao wanafikiri ukubwa wa matumbo yao ndio afya kumbe maradhi!!! Sasa fananisha namawaziri wa marekani ,toka Rais wao mpaka mawaziri wote wako physically fit, hakuna hata mmoja mwenye kitambi!!!


Bongo utumishi ni ulaji wakati wenzetu utumishi ni kutumikia wananchi.
 
Secretary of State Hillary Clinton
Secretary of the Treasury Timothy Geithner
Secretary of Defense Leon Panetta
Attorney General Eric Holder
Secretary of the Interior Ken L. Salazar
Secretary of Agriculture Tom J. Vilsack
Secretary of CommerceJohn Bryson
Secretary of Labor Hilda L. Solis
Secretary of Health and Human Services Kathleen Sebelius
Secretary of Housing and Urban Development Shaun Donovan
Secretary of Transportation Ray H. LaHood
Secretary of Energy Steven Chu
Secretary of Education Arne Duncan
Secretary of Veterans Affairs Eric Shinseki
Secretary of Homeland Security Janet Napolitano

<tbody>
</tbody>


View attachment 53761
Marekani wamemalizia hapo! sisi tunao 50 na ngapi vile?



Hapo tunaona tofauti ya akili ya JK na Obama, unajua huyu mkuu wetu hakuna kitu! Yaani tunamlaumu bure lakini nimegundua that is the way he is. Naturally hamna kitu upstairs, im sorry to say but that the truth
 
Idadi kubwa mno hata nchi kubwa kama Marekani, Urusi au China hawana cabinet kubwa kiasi hicho wakati uchumi wa nchi zao ni mkubwa, sasa nchi maskini inayoishia kwa misaada mawaziri ni wa kumbwaga nadi wasio na wizara maalum.
Yaani wewe kwa mtazamo wako hili Maraisi wote wanne wa Tanzania hawjawah kuliona hilo??? Usipende kujilinganisha na hao jamaa kwa kila kitu,sometimes we are far right than them,..kwa hili la cabinet kubwa,u must appreciate the fact that we have different form of democratc system na wao,lakini pia structural difference btn us n them...mijitu ya huku inahitaji usimamiz wa karib kwani bado ni wajinga..nimekusaidia kidogo endelea kutafuta sababu zingine dnt juc conclude kirahis hivyo mkuu.Heshima kwako!!
 
Back
Top Bottom