QURAN YAKOJOLEWA!
SHEIKH PONDA AKAMATWA,
SHEIKH FARID WA ZANZIBAR AKAMATWA HAJULIKANI ALIPO
Waislamu wakamatwa na kuteswa
Akina mama wadhalilishwa na kuwekwa ndani
Misikiti yapigwa mabomu Mbagala
Polisi waingia na viatu misikitini
Rais awapo pole wakristo
Polisi wamefanyia kazi amri ya maaskofu
Maaskofu wawapongeza polisi kuwakamata waislamu na kuwaweka ndani
Kwa matukio haya waislamu wote mnatakiwa mara baada ya swala ya Ijumaa kutoka kwa maandamano ya amani kila msikiti kuelekea Ilulu. Kila mwislamu mwenye chembe ya iman ampe taarifa hizi mwenzie na ashiriki katika maandamano haya ya kuhani dini na mashekh wetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.