PICHA - Shooting ya filamu ya MY DREAMS

Jamani sio tunacritisize to kila kitu cha KIBONGO angalau tutoe na vijisifa japo kidogo
hatujakataa kila kitu, tumesema asante kwa kazi wanayofanya mbona tumetambua idadi kibao ya movie za kanumba mpaka tunamuita the great? Ila tunawaambia ili wafanikiwe na sisi (waTanzania) siku moja tuje tufike kwenye Academy Award (Oscar) basi wajaribu kuangalia mambo fulani fulani. Mkuu angalia movie ya Leleti Khumalo "yesterday" zingine hizi "white light" "white maasai" "Ezra" "skin" "No where in Africa" "a dry white season" "The ghost and the Darkness" "Mafrika" uone kama zinafanana na hizi movie zetu. Mimi mpenzi wa African movie lakini wanigeria na wabongo mmmh???!!!* sijui!

Mwandishi mashuhuri wa vitabu vya motivation Robert Kiyosaki "Rich Dad Poor dad" anasema ukitaka kufanikiwa unatakiwa kutumia smart people. Sasa akina Kanumba wanaogopa kufanya consultation, kuna watu wamesoma mambo ya Cinematography, screenwrting, (wao wanafanya vyote wao) wawatumie hao ili kufanikiwa, kuna watu wanasoma mambo ya art pale mlimani (prof Penina) wawatumie hao watafanikiwa, they have ti use smart people. Mfano jamaa tulimkosoa hiyo Biography yake akairekebisha lakini ebu ipitie, http://www.kanumba.com/Biography.html Hapo ni baada ya kuondoa makosa yaliyokuwepo lakino bado hata haina radha.
 
Tatizo tunaiga sinema za nje na tunataka kuishi maisha tunayotamani kwenye movie , achilia mbali muozo wa quality, soundtrack na mengineyo mengi tatizo ukisema wanasema unachonga sana lakini suala ni kujenga na kutengeneza movie ambazo zitacompete there is a lot of potential in this industry regardless of being so disorganized and unprofessionally managed
Mkuu swabiri Pasipo na kuiga hatutaendelea kipicha itabidi tuige wazungu wanavyofanya filamu ehhh
 
Nadhani ubora wa kila kitu hutokana na soko. Kama soko la filamu za aina hiyo lipo basi waacghe jamaa wanedeshe libeneke. Umma wetu utakapogundua kuwa filamu hizo ni za quality ya chini wakaacha kuzinunua, basi hapo ndipo watengenezaji na waigizaji watakapoanza kuimarisha ubora. It might come too late, lakini pole pole ndiyo mwendo; hiyo ni tasnia mpya kwetu.
 
Hata mimi nimekuwa nikijiuliza the same question, hivi ni wanafunzi wa ngapi wa vyuo vikuu veytu vya bongo wanaenda na magari chuo, hivi mbona haigizi movie zenye maudhui ya kuaddress issue za watanzania kama wanavyofanya akina Leleti Khumalo? angalia picha zake kama Yesterday, Sarafina, Invictus, nk. Bongo kuna topic kibao za kuigiza na zingewapa heshima kubwa sana hata hizi kasheshe za akina Kakobe mjanja akitengeneza script nzuri unatika na bonge la movie, Matatizo ya bodi ya mikopo na wanvyuo, Skendo zote tunazozisikia ni movie tosha.

Alfu move za wenzetu unakuta aliyetunga hadithi (kitabu ni mwingine) anayeandika script ni mwingine, director mwingine, star mwingine na ndio maana unaona imetulia maana kuna kukosoana na kurekebishana. sasa hawa movie ya kanumba kila kitu yeye, kama ya Ray basi hivyo yy mwenyewe ni mtunzi, script yeye mwenyewe, mwongozaji yeye, na star yeye tena, ndio maana zinakosa mvuto kabisa. Mtoto wa shule ya sekondari makongo wanmuweka Johari (sekondari gani hiyo tanzania hii) hata mikunyanzi ya usoni inaonyesha huyo kavuka mipaka ya kusoma na tayari kawa used. hawasikiii hawa
point!

Mmhh :confused::rolleyes: nimejaribu ku-zoom nimeambulia patupu!
hahahahahahaha!
 
Dah Huyu Uwoya kwa vivazi vyake mie nadhan sometimes anakuwa anawakwaza hata mashooter wa movie....kama yaleeee kupiga picha warembo kwenye fukwe......
...Mi huwa najiuliza huyu Irene Uwoya shemeji ameshampiga kibuti nini?? Maana yeye kila wakati tunamuona kwenye uigizaji tu au ndio ujasilia mali umeshika hatamu??
 
Back
Top Bottom