Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 5,897
- 10,358
Picha mbaya hiyo
Ofisini kwetu hatuwezi kuweka hiyo picha ya Magufuli kamwe tumeweka ya Lowasa.
Ofisini kwetu hatuwezi kuweka hiyo picha Magufuli kamwe.tumeweka ya Lowasa.
Picha mbaya hiyo
Picha rasmi ya Rais Dk John Magufuli itakayoanza kutumika leo katika ofisi mbalimbali za serikali na binafsi nchini.
Picha inapatikana Idara ya Habari (Maelezo) kwa bei ya Tsh. 15,000/=
Ofisini kwetu hatuwezi kuweka hiyo picha Magufuli kamwe.tumeweka ya Lowasa.