JK yupo Canada lakini ili kumwona inabidi ulipie walau $120 kwa kichwa....! Bofya
Kwa itifaki ya Marekani, rais haruhusiwi kwenda uwanja wa ndege kumpokea mgeni wake hata kama ni ziara ya kiserikali. Hiyo ni kazi ya Secretary of State. Rais anamsubiri mgeni wake kwenye South Lawn ya White House ambako gwaride rasmi la mapokezi hufanyika, na baada ya hotuba, wanaingia ndani ya White House kwa mazungumzo rasmi.Maraisi wa Africa Huko Kwa Wazungu Wanazarauliwa sana, Mfano USA OBAMA kwa Bara la Africa anaweza enda Uwanja wa Ndege Kumpokea Raisi wa South Africa Pekee, Hao wengine wanapokelewa na Watu wa Kawaida tu
Unataka kusema amevunja rekodi ya ALLY CHOKI mzee wa farasi,eti ameenda KUEMEA yangu macho.Aahhh Mzee wa farasiiiii aka Mzee wa bembeaaa!!
Ni utaratibu wa nchi nyingi tu unapofika uwanja wa ndege unapokewa na waziri au mkuu wa itifaki. unapofika ikulu ndio unapokewa rasmi na mkuu wa nchi. Hii inapunguza foleni za kwenda airport na kurudi na kiongozi wao hapotezi muda mwingi kupokea wageni. In fact marekani nadhani kwa mwaka ni kama viongozi watatu tu ndio huwa wanapokewa kwa gwaride ikulu wengine mnakutana na Rais ofisini kwakeAnapokewa na waziri wa mambo ya nje, kiongozi mkuu wa nchi kasafiri, au ndio wamemchoka JK
wenye wivu wajinyonge...
anapendeza kweli...
Sasa unataka raisi asipendeze wakati anakuwakilisha nje?
Chama
Gongo la mboto DSM
Anapendeza kwani yeye yuko huko kwa ajili ya kupendeza?
anapendeza kweli...
Mbona sijawai kuona USA akifanyiwa hivi.!
Ndio alichoenda kufanya huko kupewa heshima na kupanda farasi, Rais kweli tunae na tuna safari ndefu sanaaaaa
Si ndo nchi inayo vuna almasi za watanzania!(kahama mining) hapo baada ya kupanda hao farasi madini yatachotwa bure wakati PAYE zinatumaliza watanzania, mpaka Mungu arudi tutabakia mifupa.