Picha: Rais Kikwete ashiriki maombolezo ya Regia Mtema

Mkuu inaonekana unachuki Binafsi na Chadema.
Hv leo akifa (Mungu epushia Mbali) CDF Davis Mwamunyange, Mandhar ya Msiba ikiwekewa Bendera za JWTZ kuna ubaya gani, tukiona wanajeshi wamevaa Uniform pia tutie Neno?
Mbona hata kwenye Misiba ya Viongozi wa Magamba inakuwaga hivyo....

Just have a look on the pics below kwenye msiba wa balozi Athumani Mhina

2qixxc1.jpg




etxmdl.jpg
 
Kwa hilo Rais Kikwete chukua tano! Ni mwepesi wa kujumuika katika matukio kama haya ya misiba.

Duh, sifa zinatafutwa hadi mvunguni ! Si afadhali angekuwa mwepesi katika kutafuta namna ya kuwaondolea wananchi kero zao ! Okay granted, ni mwepesi kujumuika katika misiba, so what ? Je huko kujumuika kumetupunguzia njaa ? kumetupunguzia magonjwa ? kumepunguza ajali ? kumetupunguzia umasikini ? kumepunguza hatari ya mafuriko ? kumepunguza foleni ? Je kujumuika huko kumewaletea maisha bora Watanzania ? kutimiza ahadi zake alizozitoa akiusaka Uraisi ? Jamani pelekeni huu upuuzi na sifa za kijinga huko hukoooo...! hapa tunamlilia shujaa wetu, RIP Regia Mtema !
 
Duh, sifa zinatafutwa hadi mvunguni ! Si afadhali angekuwa mwepesi katika kutafuta namna ya kuwaondolea wananchi kero zao ! Okay granted, ni mwepesi kujumuika katika misiba, so what ? Je huko kujumuika kumetupunguzia njaa ? kumetupunguzia magonjwa ? kumepunguza ajali ? kumetupunguzia umasikini ? kumepunguza hatari ya mafuriko ? kumepunguza foleni ? Je kujumuika huko kumewaletea maisha bora Watanzania ? kutimiza ahadi zake alizozitoa akiusaka Uraisi ? Jamani pelekeni huu upuuzi na sifa za kijinga huko hukoooo...! hapa tunamlilia shujaa wetu, RIP Regia Mtema !

Kwa JK alikuwa anatafuta sifa kwenye msiba?? wa regia?
Aisee chuki zingine bana zinaondoa busara
 
Utantambua said:
Kwa hilo Rais Kikwete chukua tano! Ni mwepesi wa kujumuika katika matukio kama haya ya misiba.
Kwa JK alikuwa anatafuta sifa kwenye msiba?? wa regia? Aisee chuki zingine bana zinaondoa busara

Birds of a feather...! Need I say more ?
When I was born I was so surprised I didn't talk for a year and a half !
But now I do have great faith in fools; self-confidence my friends call it.
 
r+h.jpg
dada halima mdee suruali hadi katika msiba?kwa nini usivae kiheshima japo ungejifunga kanga
 
Hata viongozi wa ccm wakifariki bendera za chama chao zinakuwepo ww kuona za cdm unashangaa nini au wote mna mawazo kama ya nape?
 
Kwa mwendo huu Slaa hafai kuwa na nafasi kubwa kwenye serikali yetu.
Mtu asiyependa madiliko hafai. Inabidi ajifunze kubadilika na kuendana na mazingira.
Huyo kiongozi wako Mwizi wa kura ndio amefaa kwa lipi haswa hata wanafunzi wa Chuo ambao ndio viongozi wa baadae wamemshinda kuwapa mkopo kwa wakati tu kazi yake ni Utalii tu Bora huo Slaa...

Mkwe.e ndio hataki mabadiliko na kama anataka apishe wengine kwani kesha prove kuwa kashindwa na ameshindwa kuendana na mazingira
 
Picha hizi sijazipenda kweye maombolezo ya hayati dada yetu Rigia Mtema
r+b.jpg
r+7.jpg
at+3.jpg


Najua wengi hapa watanifutulia macho, lakini watanzania tunatakiwa tuwe na upeo wa kutambua na kuchanganua nafasi za matukio. Hapa si masuala ya chama, ni msiba ambao unatuhusu watanzania wote. Alivyovaa Freeman Mbowe safi kabisa ni vazi la msiba. Picha ya kikwete unamwona kijana kwa mbali na pendera ya Chadema kajifungia huu ni mtazamo finyu, hapa ni msiba wetu sote.

Hali kadhalika Dr. Slaa anatakiwa awe na mabadiliko ya mivao kutofautisha nafasi kama hizi. Vazi hilo hilo ofisini, msibani, kanisani, hotelini nk. hapana, nitaendelea kutoa somo hadi tutakapokuwa mstari mmoja.

Nadhani hata kumbukumbu haijafutika, umesahau msiba wa balozi mhina?, bado chama kinanafasi yake pia, ma ndio maana raisi ametuma salam za pole kwa mwenyekiti wa cdm
 
Very humble dwellings..........a really commoner sio kama ''viongozi'' wetu tulio wazoea....RIP Gender Sensitive
 
Picha hizi sijazipenda kweye maombolezo ya hayati dada yetu Rigia Mtema
r+b.jpg
r+7.jpg
at+3.jpg


Najua wengi hapa watanifutulia macho, lakini watanzania tunatakiwa tuwe na upeo wa kutambua na kuchanganua nafasi za matukio. Hapa si masuala ya chama, ni msiba ambao unatuhusu watanzania wote. Alivyovaa Freeman Mbowe safi kabisa ni vazi la msiba. Picha ya kikwete unamwona kijana kwa mbali na pendera ya Chadema kajifungia huu ni mtazamo finyu, hapa ni msiba wetu sote.

Hali kadhalika Dr. Slaa anatakiwa awe na mabadiliko ya mivao kutofautisha nafasi kama hizi. Vazi hilo hilo ofisini, msibani, kanisani, hotelini nk. hapana, nitaendelea kutoa somo hadi tutakapokuwa mstari mmoja.

Acha uchuro wewe kwa hiyo huyo mwenye white.anacelebrate? Mbona kuna wengine wana green? Basi mwambie hata baba regia atoke kwenye kiti hapo ndani wakae wengine, si msiba wa wote. Hakuna msiba usiokuwa na host bana. Wewe una hofu ya bure tu
 
Katika ushirikiano wa kijamii (misiba, arusi) Watawala wa Tanzania bila kujali tofauti za kiitikadi hawajambo lakini ushirikiano katika kujenga Tanzania ni tatizo. Kwa nini Serikali haitaki kusikiliza kilio cha wapinzani na Watanzania juu ya UFISADI NA RUSHWA ILIYOKITHIRI, MIKATABA MIBOVU YA MADINI, IPTL, RICHMOND/DOWAN, BUZWAGI, KUUZWA KWA NBC, KATIBA MPYA?

Hapa ndipo kwenye unafiki usiovumilika ulipo.
 
Picha hizi sijazipenda kweye maombolezo ya hayati dada yetu Rigia Mtema
r+b.jpg
r+7.jpg
at+3.jpg


Najua wengi hapa watanifutulia macho, lakini watanzania tunatakiwa tuwe na upeo wa kutambua na kuchanganua nafasi za matukio. Hapa si masuala ya chama, ni msiba ambao unatuhusu watanzania wote. Alivyovaa Freeman Mbowe safi kabisa ni vazi la msiba. Picha ya kikwete unamwona kijana kwa mbali na pendera ya Chadema kajifungia huu ni mtazamo finyu, hapa ni msiba wetu sote.

Hali kadhalika Dr. Slaa anatakiwa awe na mabadiliko ya mivao kutofautisha nafasi kama hizi. Vazi hilo hilo ofisini, msibani, kanisani, hotelini nk. hapana, nitaendelea kutoa somo hadi tutakapokuwa mstari mmoja.

Sijaona hoja yako ya msingi hapo, hata kama msiba ni wa kitaifa lakini haiondoi UHALISIA kuwa wafiwa wakubwa ni ndugu, wakifuatiwa na CDM na kwa vile yeye alikua kiongozi mkubwa wa chama, si vibaya taratibu za KICHAMA ikiwemo kutumika bendera ya chama zikitumika katika mazishi hayo... Tsiende nje ya mada na kusababisha ubishi usio na maana hasa katika kipindi hiki cha majonzi, tushirikiane kwa pamoja bila kujali mavazi gani yanatumika kwa sababu sidhani kama nguo au bendera ya chama ina madhara katika mazingira hayo.... RIP dada Regia Mtema!!
 
1.Rais wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete
2.Waziri mkuu Mizengo Pinda
3.spika wa bunge Anne makinda

4.Naibu spika Job Ndugai

5.kiongozi wa upinzani bungeni na mwenyekiti wa chadema Freeman Mbowe

6.waziri wa mahusiano na uratibu stephen wassira

7.waziri wa utawala bora mathias chikawe

8.katibu mkuu wa chadema Dr wilbrod slaa

9Wabunge mbalimbali na karibu wote wa chadema-zito,mnyika,kafulila,mdee,mnyika etc
10.Katibu mwenezi wa CCM NAPE NNAUYE.
11.wadau mbalimbali pamoja na wana JF
MY TAKE; TANZANIA NI MOJA NA WATANZANIA NI WAMOJA BILA KUJALI ITIKADI ZA VYAMA,DINI NA MAKABILA YAO.
REST IN PEACE DADA REJIA.
Source.wadau mbalimbali wa uhakika wanaoishi maeneo hayo.
Mkuu, kama vichwa hivi vyote vingekuwa vinaungana kupigania haki na maslahi ya Watanzania, hakika tungekuwa mbali sana.
Kama wangeachana na kauli na vitendo vya kuonyesha 'sisi ndio wenye nchi' na kujiamualia mambo kwa maslahi binafsi na malahi ya chama kwa maana ya kuendelea kuongoza daima dumu.

Hawa, wangesimama kidete kutenda haya:
  • Watuhumiwa na washiriki wote wa wizi na uporaji wa fedha za EPA washughulikiwe, kama hakuna sheria ya kuwashughulikia vizuri, basi watunge sheria fasta
  • Fedha zote za maendeleo zinazokwenda katika Halmashauri na manispaa zinasimamiwa vyema, any poor audit report leads to dismissal of responsible people
  • Budget ya maendeleo inakuwa kubwa kuliko budget ya matumizi ya kawaida
  • TRA inabanwa mbavu kukusanya kodi
  • Vyanzo vya kodi hasa makampuni ya madini, gas na industry inzima ya hotels/appartments inapitiwa upya na mianya ya ukwepaji wa kodi unadhibitiwa ipasavyo.
  • Nchi inajikita katika Viwanda......viwanda stahiki vinafufuliwa/kuanzishwa.
  • Usafirishaji bidhaa ghafi kwenda nje unapunguzwa kwa ku-process malighafi hizo katika viwanda vyetu.
  • Importation ya vitu visivyo vya msingi unadhibitiwa - viwanda vya vitu kama maziwa ya watoto, metal fabrication - spare za magari watu waweze kununua genuine au kuchongesha katika viwanda vyetu.....n.k.
  • .....ENDELEZA MWENYEWE HAPA...
 
Katika nafasi kama hizi tunatanguliza wakuu kwamba wanaongoza maombolezo, ni kitu cha kawaidfa kutafsirika vizuri tu. Asante Geza Ulole
Geza ulole kama ulikuwepo jana tabata chang"ombe msibani hutasita kusema Rais Kikwete aongoza maombolezo. Protocol ilichukua nafasi kubwa. huwezi kusimama, wala kutoka wakati shughuli ikifanyika. Anyway yote ni mapenzi ya mungu. Kwa mungu hakuna rais, wala mungu hajui wewe ulikuwa nani kama alivyoimba Dr remmy na Bushoke. Sisi sote ni watu wa kupita tu. RIP Regia. nitakumbuka sauti yako nzuri wakati tunaimba pale kwenye jumuia yetu.
 
Back
Top Bottom