Nang'olo Ntela
Senior Member
- Jan 19, 2012
- 108
- 24
Mwanzo nzuri zero-one wetu (Mkuu wa kaya).
hakuna kinachoshindikana mezani.
hakuna kinachoshindikana mezani.
Ujinga ni kitendo cha kuonyesha kutoujua ukweli. Upumbavu ni kitendo cha kuonyeshwa ukweli lakini ukaupuuzia ukweli. Ukweli wa Ziwa Malai kuwa lote la Malawi ulionyeshwa humu kwamba Anglo-Germany treaty of 1890 ndiy definitive state of Tanzania and malawi border.
Kama hukujua hili basi ujinga ungeondoka baada ya kujulishwa hili. Tumeandika sana lakini kwa sababu vichwa vimezoea kuelimika kwa kudesa basi ving'ang'anizi wakaganda na mawazo yao kwamba waenye akili wote wamegeuka kuwa wamalawi.
Sasa anzeni sasa kumuita JK kuwa ni Mmalawi naye maana Joyce Banda hakumumng'unya maneno katamka mbele yake kuwa Ziwa ni la Malawi kwa 100%.
Bernard Membe kauli yake iliyomo kwenye hansard haifutiki na kwanza alikosea hata kujua latitude za ziwa hilo.
Viva wote wapenda ukweli. Kamwe nisingeweza kushabikia wizi wa kuiba ziwa ambalo halikuwahi kuwa letu. Sasa ninapumua, yaliyobaki ni diplomacy ya kupunguza munkari ya wagumu wa kuelewa.
Mbona ana chekecheka tu?
Ujinga ni kitendo cha kuonyesha kutoujua ukweli. Upumbavu ni kitendo cha kuonyeshwa ukweli lakini ukaupuuzia ukweli. Ukweli wa Ziwa Malai kuwa lote la Malawi ulionyeshwa humu kwamba Anglo-Germany treaty of 1890 ndiy definitive state of Tanzania and malawi border.
Kama hukujua hili basi ujinga ungeondoka baada ya kujulishwa hili. Tumeandika sana lakini kwa sababu vichwa vimezoea kuelimika kwa kudesa basi ving'ang'anizi wakaganda na mawazo yao kwamba waenye akili wote wamegeuka kuwa wamalawi.
Sasa anzeni sasa kumuita JK kuwa ni Mmalawi naye maana Joyce Banda hakumumng'unya maneno katamka mbele yake kuwa Ziwa ni la Malawi kwa 100%.
Bernard Membe kauli yake iliyomo kwenye hansard haifutiki na kwanza alikosea hata kujua latitude za ziwa hilo.
Viva wote wapenda ukweli. Kamwe nisingeweza kushabikia wizi wa kuiba ziwa ambalo halikuwahi kuwa letu. Sasa ninapumua, yaliyobaki ni diplomacy ya kupunguza munkari ya wagumu wa kuelewa.
Niulize, hivi Bibi Banda ana mume?
Hata mimi nitajitolea kwa hilo, kwa sharti moja tu, ahamie TZ.MAMMAMIA,
..nasikia hana mume.
..halafu JK anaruhusiwa mpaka wanne.
..mimi nadhani suala hili ni rahisi sana kumalizwa na JK kuliko watu wengi wanavyofikiria.
Hata mimi nitajitolea kwa hilo, kwa sharti moja tu, ahamie TZ.
Hujui kama baada ya kugombana na mama Riz wazazi wake walimtafutie Salma wakamtumia kule Mtwara alikokua? Hivyo ndivyo alivyompata ondoa shakahuu ndo wakati wa kupima vocal za huyu bwana..........mtoto wakike ni wakike tu...JK akikwama kumlainisha huyu bibi ntapata mashaka alimpataje mama salma
Hapo anaonekana ni mwanamke kama kawaida. lakini akifika nyumbani usiku ni kama mtoto mdogo. Mi ningekuwa kikwete ningemfanya awe nyumba ndogo. Mia
Jamani Mkulu amesema Banda ni dada yake, sasa amsogelee wa nini?Ewaaaa. Na mimi nilitaka niulize hilo hilo kwani ukiangalia vizuri utaona kwamba kila mmoja anataka asogee mbali zaidi ya mwenzake: Halafu JK ndiyo kajisogeza ndani ndani kuleeeeeeeeeeee kwenye angle kabisa.
Mkuu, don't take it so serious! Ni nani mwenye akili zake timamu anataka vita kama sio lazima kabisa? TZ we one and we had it enough. Ni suala la kulimaliza mezani sio uwanjani.Jamani Mkulu amesema Banda ni dada yake, sasa amsogelee wa nini?
Tunapenda udaku hata kwa vitu vya kidiplomasia na protokali.
Hili picha likionekana Malawi litawaondolea wasiwasi na sisi hapa tunasema mkulu anachekackeka, amfanye nyumba ndogo, ajisogeze karibu nae...ni wazi tunaelewa machungu ya Vita. Ile ya Amini bado imetuzuia kutia viraka barabara zetu.
JK na Banda ,wameshateua wanadiplomasia kuzungumzia hili ziwa na kutafuta suluhu. Tuwape nafasi na muda.
Angalia bendela yetu inavyopendeza kama Watanzania tunavyopendeza. Busara zitumike kutatua tatizo nguvu sio suluhisho katika wakati huuAmri Jeshi Mkuu wa Vyombo vyote vya ULINZI na USALAMA, amesema HAKUNA VITA, HAWEZI KUMTWANGA DADA YAKE. FULL STOP! Hongera KAMANDA COL. DRT. KIKWETE. VITA si nzuri Kabisa. Wanasiasa (Wasuccession 2015) waache SIASA kwenye hii kitu.