Mkusa
JF-Expert Member
- Dec 14, 2010
- 549
- 209
Nyumba ya Dorcas Moses mwalimu wa shule ya Msingi ya Nyamagana ambaye alikuwa kwenye gari aina ya Rav 4 aliyopewa lifti na kamanda Ballow usiku kumrudisha kwake. Hapa Mwandishi wa Gazeti la Mwananchi Fredrick Katulanda akitoka kufanya mahojiano.Mtoto wa kaka yake Mwalimu Dorcas akiongea kuhusiana na tukio la Kifo cha kamanda Ballow ambapo yeye ndie alikwenda kufungua geti kwa ajili ya Mama yake Dorcas aweze kuingia ndani ila kabla ya kufungua ndipo aliposikia risasi ikipigwa.Hapa ni nyumbani kwa marehemu kamanda Ballow.Hili ndilo geti ambapo kifo cha kamanda Ballow kilipotokea usiku wa kuamkia leo wakati mwalimu Dorcas Moses alipokuwa akirudi nyumbani kwa lifti ya gari la Kamanda Ballow.Baadhi ya jamaa yake marehemu wakiwa nyumbani kama walivyokutwa na kamera yetu.Jamaa zake marehemu Ballow.Waombolezaji wa kike wakilia kwa uchungu nyumbani kwa kamanda Ballow leo.
Angalia wanavyojichanganya.
Mkuu wa Mkoa: Marehemu alikutwa na umaut alipokuwa anamrudisha Ndugu yake (Na sio Dadaake kama Mwema alivyokurupuka) Home kutoka Harusin (Na sio Kikao Cha Harusi) Akitumia Gari aina ya Toyota Hilux (Na sio RAV4)
Akaenda Mbali zaid, wakatokea watu 6 wakazingira gari la Kamanda, Huyo Mwanamke haijulikani kama alikuwa ameshuka garini ama la (Pambav zaku huyu Mkuu wa Mkoa, hayo Maelezo kayatoa wapi kama sio kutoka kwa huyo Mwanamke)
Yakatokea Mabjibishano na kamanda alipotaka kuchukua Radio Call ndipo Jamaa waka Mpiga Risasi.
My Take.
Hivi haya Maelezo hawa wahuni wameyatoa wapi kama source sio Huyo Mwanamke??????????
Yani huyo Mwanamke alikuwa hajui kama alikuwa ameshuka garini ama la By the time Gari ya Kamanda libe (RIP) Imezingirwa????
Huyu Mkuu wa Mkoa ameaibisha sana Taaluma ya Uhandisi.