kama ni wanakwaya itakuwa ni indiketa kuwa moral decay imepiga hodi pia huko, hakuna cha dini bali ni perfomance ya kuwatukuza /kuwafurahisha binadamu ili 'mkono uende kinywani'
kama ni wanakwaya itakuwa ni indiketa kuwa moral decay imepiga hodi pia huko, hakuna cha dini bali ni perfomance ya kuwatukuza /kuwafurahisha binadamu ili 'mkono uende kinywani'
sijaelewa kabisa.....
Hii siyo Kwaya ya Kanisani bali ni kwaya ya JWTZ walikuwa wanatumbiza ile siku ya Muungano tarehe 26/4/2012
wanacheza ndombolo ya solo!?wacha zako wewe! hao si kwaya ya dini..ni askari wa jkt oljoro arusha siku ya muungano day pale uwanja wa uhuru ambapo kwa mara ya kwanza sherehe hizo zilipita bila hotuba ya mwenye nchi..
wanacheza ndombolo ya solo!?
asante kunijuza, ndio maana nikasema 'kama'Hii siyo Kwaya ya Kanisani bali ni kwaya ya JWTZ walikuwa wanatumbiza ile siku ya Muungano tarehe 26/4/2012