Nafahamu fika kuwa Zenj, ni mpambano kati ya CCM na CUF. Hata hivyo vyama vyote vinavyoshiriki uchaguzi ni vya kitaifa, hivyo basi hupita mikoa mbalimbali kutangaza sera zao na kuomba kura. Sio vibaya kuona mwamko wa wananchi juu ya vyama kama hivyo.Kibunango umeshindwa ufahamu, Zenji ni CCM na CUF
Kwa busara yako kwenye thread hii weka picha za kampeni ya CCM na CUF ili tufaidi
Mkuu Kahangwa,Mkuu Kibunango,
Ahsante sana kwa taswira hizi. Waonaje comments za wana-jf, zinagusa ulichokilenga kwa kuanzisha thread hii?