Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,883
Napenda kuongelea na kuchambua mambo ya siasa lakini si mfuasi wa siasa, maana ukiamua kuingia kwenye siasa unatakiwa uwe kama wale vijana wa unga uwe stimulated na kitu fulani, la sivyo utaonekana you staggering jukwaani bila ushawishi kwa hadhara. Kwa vyo vyote kama u mdini utaiendekeza dhambi ya wongo, kwani mara kadhaa mtu anaongea kitu asichokiamini bali ni propaganda za kisiasa, ambazo kesho atazikana hadharani kama Nape anavyofanya.