Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba saizi ya Nape ili nimnunulie full gwanda manake naona kijana sasa anapotea. ni jukumu letu kumuokoa kutoka kwenye dhambi za magamba. Tumkaribishe atapona zambi zake
Toka anyimwe gwanda amekuwa na wivu wa kike sana, Nepi fanya siasa acha wivu bhana...
Mkuu hilo neno umelitumia vibaya sana na jitahidi kadri ya uwezo wako uliepuke. Sijui wewe mwenzetu unaishi wapi, lakini mimi nafanya kazi na watu wengi sana, waislam kwa wakristo. Kusema kweli wapo ndugu zetu waislam wengi sana ambao wanaiunga mkono M4C. Naomba tusianze kugawanyika wenyewe kwa wenyewe, ndugu zetu waislam tupo pamoja naoNimeona hii ameposti sikuweza hata kushiriki kwenye HOJA ya HABARI zake; Sababu hazina Maana... HIVI CCM ni YA KWAKE
Waislamu Marafiki zake kwenye Facebook wote wanamuunga Mkono wanasema matatizo ni hao Wachagga; Hawajui HUYO MTU ni
MLIBYA Mwarabu na Mwislamu
Amevaa BENDERA HALALI YA LIBYA kabla ya GADAFFI kupindua NCHi 1969. Sasa Kama baadhi ya Ndugu zetu waislamu
hawawezi kuchunguza habari
Wanaamini yoyote NAPE anayosema; hatutafika kokote... na NCHI YETU na tulivyo na VIJANA ambao HAWAKUPATA ELIMU
BORA... UHASAMA utaanza...
The tri-colour flag was Libyas first national flag adopted when the country gained independence from Italy in 1951.