Picha na stori za Loliondo- kwa Babu

AHSANTE KWA NFO. marekani hawakawii kuja kumwibia tiba yake na kumsafirisha marekani wamtumie kutengeza dawa za kutibu hayo magonjwa kma ukimwi na kisukari kisha waziuze kwa garama kubwa sana.kwa waliokaribu yake wamshauri asiwape hiyo teknlojia yake bali airithishe kwa watanzania wenzetu waendelee kutibu wa mkioa mingine.
 
Pata picha ya ramani ya eneo la Loliondo
Image2.jpg









 
Mimi nimeshuhudia watu wangu wa karibu sana wamepona kwa dawa ya babu nawashauri watu waende Mimi pia nilifika kule jumamosi asubuhi, jumapili usiku wa saa moja nilifanikiwa kunywa dawa na kuondoka kurudi arusha
 
ci ndio wew jeykey..au unadhani hatukufahamu.::A S 13::A S 13::A S 13::A S 13:
 
Mkuu ulijuaje kuwa we gari lako ni la 1350? ulihesabuje? sipati picha

Siji kitu swali lako ni zuri! nilipofika pale kwa wale walionitangulia wao walishakua wanahesabu kila garilinalofika pale usije ukafikiri ukifika utaweza Kudaivet ili ulitangulie gari la mwenzako.
 
Kibonde amejitambua lini? Maana yuko out of ordinary mind. Au kapelekwa na hao mabwana zake?
 
Jamani jamani kuna tetesi kuwa yule mtangazaji wa clouds fm ametinga Loliondo kwa babu

Jamani kama kuna mtu kamuona kweli huko MPIGE PICHA WEKA HAPA:hand::hand:

Si katumwa na bosi wake Mkwere, maana si unajuwa kale kagonjwa kila ukisikia huku ndio inapatikana nzuri zaidi basi lazima uende huko, ila shida moja nasikia yule mchungaji anaetoa tiba ni CHADEMA damu damu kabisa, sasa sijui hawa vibaraka wa mafisadi atawapa dawa sahihi au atawapa poison. shida iko hapo tu.
 
lakini vipi waliopata huduma wanasemaje kuhusu dawa ya babu?

Leo Asubuhi nimebahatika kukutana na mama mmoja ambaye ni nurse katika zahanati ya kazini kwetu, Ukweli yule mama kwa macho yangu niliwahi kumwona akitembea kwa shida na kushindwa kula baadhi ya vyakula kwa sababu ya kuuguwa vidonda vya tumbo ila leo kwa macho yangu amekula Pilau yenye pilipili ikiwa ni kutudhihirishia umma kuwa amepona. Soda ilikuwa mwiko kwake kwa sababu ya kisukari lakini amekandamiza Coca nzima kwa usongo wa kuikosa miaka 8 ya kuugua kisukari.

Jamani Mchungaji anatibu!!!
 
Mkuu Ndallo shukrani kwa taarifa.
Kuna ile barabara inayopitia hifadhi ya Ngorongoro, sina hakika kama watu wamefanyia utafiti njia hii ingawa inaweza kuwa mbali sana.

Kuna haja ya serikali kuchukua hatua mapema ili kurahisisha upataji dawa kwa muda mfupi, vinginevyo serikali hiyo hiyo inaweza kuingia gharama kubwa kutakapotokea maafa kutokana na msongamano ulioko na unaotarajiwa kuongezeka huko.

''KWAMBA ANATOKA KWA MUNGU AU KWA SHETANI SIJUI, NINACHOJUA MIMI NI KWAMBA NILIKUWA MGONJWA NA SASA NIMEPONA
 
Mkuu Ndallo shukrani kwa taarifa.
Kuna ile barabara inayopitia hifadhi ya Ngorongoro, sina hakika kama watu wamefanyia utafiti njia hii ingawa inaweza kuwa mbali sana.

Kuna haja ya serikali kuchukua hatua mapema ili kurahisisha upataji dawa kwa muda mfupi, vinginevyo serikali hiyo hiyo inaweza kuingia gharama kubwa kutakapotokea maafa kutokana na msongamano ulioko na unaotarajiwa kuongezeka huko.

''KWAMBA ANATOKA KWA MUNGU AU KWA SHETANI SIJUI, NINACHOJUA MIMI NI KWAMBA NILIKUWA MGONJWA NA SASA NIMEPONA

Ni kweli hiyo barabara ipo na ni nzuri haina usumbufu kwa kuendesha gari sema shida ni kua ni mbali mkuu!
 
Wakati unaendesha gari kuelekea Loliondo au kutokea huko bila kificho mlima huu utauona bila kificho unaitwa Mount Oldoinyo Lengai, kwa kimasai wao wanamaanisha ni mlima wa Mungu!
Lake%20Natron03.jpg
 
du pole sana kwasafari ndefu, inabidi wizara husika ifanye haraka kuweka utaratibu mzuri wa kupata hiyo tibu, kabla hali haijawa mbaya???
 
It is supposed to be recognized as spiritual healing.Perhaps some who have been there can indeed confirm their healing?
 
Duuh! pole sana mkuu na tunashukuru kwa taarifa kama hizi. mmmh....... hapa ni kuzidi kumuomba sana mungu
hatuepushe na maradhi katili kama hayo anayotibu huyo babu.
 
In a different angle, we humans are very selfish!Just because there happens to be this 'wonder'drink and spiritual healer performing there and due to the distance and basic needs problems there, we tend to ask the Goverment to make roads and other to build hotels etc?

When you take the path, one needs to overcome and face all the troubles therein for it is 'reward' that evetually matters!!
 
mkuu pole sana na hongera sana angalau umetufungua macho ss tumepata picha halisi ya loliondo heko mkuu
 
Back
Top Bottom