kapotolo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2010
- 3,727
- 2,214
walipata taarifa ajuza FF keshamaliza mwendo wake wa kiduniaKulikuwa kuna msiba?
walipata taarifa ajuza FF keshamaliza mwendo wake wa kiduniaKulikuwa kuna msiba?
walipata taarifa ajuza FF keshamaliza mwendo wake wa kidunia
Kila mmoja taabani kuliko mwenzake, mleta mada nakupa ushauri wa bure, siku nyingine ukibandika picha uwe unajuwa unachokifanya, watu huwa hawabandiki tu, hubandika picha kwa maana. tazama hii walivyochoka:
Halafu hii ndio, duhhh, hata hana habari na audience na audience wenyewe hawana habari na msemaji, tazama kushoto wako bize wanaoneshana simu mpya:
!
Endelea kuishi kwa matumaini,wenzako ndio tunayoyoma hivyo
Mhhh mimi hiyo fashion ya kuvaa bendera tu! hoiiii
Ningeshangaa kama usingesema..na bado hiyo ni moja zinakuja nyingine...
Uchokozi huu sasa lolMhhh mimi hiyo fashion ya kuvaa bendera tu! hoiiii
S'pendi ushangae :]
A friendly advice, do yourself a favor and chose something else. That style doesn't become you at all.
Nimepokea ushauri wako!
Alifikiri unaingia na kutoka anapotaka yeye? amuulize Mwenyekiti wake walimfanya nini? alikesha central. Sasa na yeye asubiri sheria ifate mkondo.