Hossea Mweta
Member
- Aug 16, 2012
- 9
- 0
Mwigulu Nchemba ana matatizo ya akili na ni mvivu wa kufikiri halikadhalika kwa Nape.
Mwigulu na Nape wameonyesha jinsi ujana wao ulivyokuwa hauna tija. Wanaongea mambo ya kipuuzi na fikra zao mgando. Wote wanatoka huko wilaya ya Iramba.
Sijui hii imekuwa na nuksi gani kuzalisha kizazi kilicholaaniwa kikaacha kutumia akili na uhalisia na kujikita kwenye njozi. Hivi kuna mzinzi kama Mwigulu ambaye aliponea chupuchupu kuumbuka Igunga?
Kama ni uzinzi na ubabu basi akamuulize bosi wake ambaye ana kila aina ya watoto toka mama mbali mbali kiasi cha kuogopa hata kutaja idadi ya watoto walio nao. Akawaulize akina Wassira na Masaburi waliojirundikia vimada kama hawana akili nzuri.
Mwigulu na Nape wanapaswa kuongelea issues badala ya personalities. Hii ni dalili ya kuchakaa na kufilisika kifikra.
Kama hadi huyu ameondoka ujue kazi yao imeisha sasa watabaki kuwa wapinzani baada ya 2015.
Uongo mtupu!
Aweke video tusikie. Aweke na picha anapohutubia. Anatuwekea picha kabla ya Mkutano. Kama si uongo ni nini?
Uongo mtupu!
another sick person, caught live! pathetic! rip ccm!
Hapana ni kweli..maneno haya yanafanana kabisa n akili zenu (lusinde, nape, mwigulu, komba, ww, nk)Uongo mtupu!
11. Mnamshangilia Kasulumbai mnajua historia yake anakotoka, Akimwangalia tu mtoto wako anakufa.
Hii point yao namba 11 ndo imeniacha hoi. Kweli "Ubora wa nyavu ni matundu yake"
Nisichoelewa ni kwamba huyu mchumi anafanya nini BoT? jamaa purely ni Propagandalist!!