King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,656
- 68,605
Safi sana trafick kwa kumpa kichapo huyo mjeda!
kumbe traffic nao wanapiga ee!
MARA kwa mara jamii imekuwa ikisikia Wanajeshi wakiwapiga Askari wa Usalama barabarani hasa Jijini Dar es Salaam Trafiki wa Moshi huenda wamechoshwa na unyanyasaji huo kwa walinzi hawa wa amani na wasimamizi wa sheria amapo huko Mkoani Kilimanjaro, Askari wa kikosi cha usalama barabarani mjini Moshi ambao majina yao hayakufahamika wakimpiga askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ) katika kiktuo kikuu cha mabasi mjini hapa hivi karibuni,baada ya kutokea kutoelewana,mwanajeshi huyo alikuwa akimtetea dereva wa Hiace aliyeshikwa na trafiki hao
Nguvu ya mamba iko majini. Wajeda huwa na nguvu wakiwa wengi. Hapo mjeda katingwa na mtu mbili...
yani angekuwa fit huyo ungeona movie kali sana hapo yani natamani ningekuwapo eneo la tukio. tetetetettee
that guy wont just swallow this, lazima atarudi na wenzake ku revenge
...Kuruta wale wanaopitia kwanza JKT ndio waingie JWTZ. angekuwa mjeda origina kingeeleweka tu hapo na hao mamwela!!!!...huyo mwanajeshi atakuwa bado yupo kwenye mafunzo! huenda likawa nili mtoto wa brigedia au captain ambaye amezoea kutafuniwa!!