...nadhani huu si wakati wa kushangaa, kulialia, kumlaumu shetani, na kumlalamikia Mungu. WAKE UP! PEOPLE.
5 people have already been killed mysteriously.
sasa kama polisi wameshaanza kusema haihusianai na mambo ya kisiasa inaelekea walisha fanya uchunguzi wa kifo cha Mbwambo hata kabla hajafa......