PICHA: Mkutano wa Waislamu Mtwara wakipinga gesi isiende Dar es Salaam (leo)

Inani kumbusha maandamano yaliyokuwa yanatokea UK baada ya conservative kuanza na sera zao za mikato. Hawakuwafuata wananchi kwa sababu wanajua kwenye kisiasa kuna maamuzi ambayo hayato kuwa popular na watu wote.

Kwakuwa walijua wachochezi wa maandamano ni union, na union ndio wachangiaji wakubwa wa labour wao moja kwa moja wakamvaa 'Ed Miliband' for cheap politics za kutaka popularity through mgongo wa union and their irresponsible demands wakati mikato ilikuwa justified kupunguza government borrowings.

Jamaa walimvaa 'Ed' sio tu kwa sababu ya kutafuta umaarufu, bali kwa sababu 'Ed' anajua tosha hata yeye angekuwa prime minister fujo zinapozidi kwenye maamuzi ya serikali na kuna hatari kwa afya ya taifa anajua kitakacho fuata.

kwa maana hiyo viongozi wa upinzani wanajua wana uwezo wakubadili sera kupitia ushindi wa uchaguzi utakao fuata na kama wao wataingia baadae.

Na kwa sasa wanajua tosha serikali itakavyo deal na hawa watu wakizidi kwa hivyo kitendo cha wao kukaa kumya bila ya kuwaelesha maamuzi ya kisiasa kwa watu wasio elewa maamuzi ya serkali na kusubiri fujo zitokee hili wapate kuonenkana mbadala is just cheap politics.

kwa sababu sote tunajua it is clear wakiendelea kichapo kitaenda mtwara, kwa maana hiyo upinzani unasubiri hicho tu, huko ni kukosa sera na hoja na si kujenga bali kubomoa taifa kwa uchu wa madaraka.
Kajipange wewe zinja, hueleweki ujue
 
Last edited by a moderator:
Wana Jamvi,

I am a bit confused here. Hawa wana Mtwara wanachotakani nini hasa? Mwanzo nilisikia hawataki Gasi processing plant iwe Dar, wanataka iwe Mtwara, kwa hapa nawaunga mkono. Hii heading inasema Waisilamu hawaki Gesi iende Dar!!! Ni nini hasa madai ya watu wa Mtwara?

Processing plant ikijengwa Mtwara hapo hapo, hiyo does not gurantee kwamba watakaopewa ajira kwenye hiyo Plant watakuwa wana Mtwara kwani watahitajika wataalamu wanaojua mambo ya Gesi na uenda pale Mtwara hawapo kabisa. I would think wana Mtwara wanapashwa kupigania Plant ijengwe Mtwara halafu wapiganie vile vile uwekwe mtambo wa kuzalisha umeme kutoka kwenye gesi hivyo kuwahakikishia wawekezaji umeme wa uhakika na hivyo kujenga viwanda ambavyo vitawapatia wana Mtwara ajira. Wakati huo huo part ya Gesi isafirishwe kwenda Dar ya ajili ya kuzalisha umeme wa kuingiza kwenye gridi ya Taifa.

Kama wana Mtwara wanapigania Gesi isitoke nje ya Mtwara tu, basi wamepotea njia, hawana point.

Tiba

Habari. Majibu yote dada Tiba unayo, hiyo heading isikutishe au kukuchanganya, hoja bado ni ileile (kwenye red). Lakini vipi umeshawahi kuyasikia majibu ya TPDC yaliyotolewa na mkuregenzi jana?? Wanasema kila kitu kitajengwa mtwara(power plant nk) na bomba litakalojengwa ni kutoa gesi ya 16% na hiyo asilimia 84 itabaki mtwara kwa matumizi ya umeme nk...hivi inaingia akilini kwa jibu hili? Unaweza kutumia trilions of shs kwa ajili ya asilimia 16 tu??hapa naona wanatafuta mwanya ili ikijengwa basi wamkome nyani!!

Sisi wana Mtwara tunachohitaji viwanda, power plant, gas processing, mbolea industries, cement ind...nk, halafu baadae wawekezaji wakishakuwa wengi, southern zone itafunguka na hapo sasa gas iende kokote wanakotaka.

Hivi ulishawahi kujiuliza kwanini serikali haikupeleka gridi ya taifa south?? Unajua kwa nini kilimo cha pamba kilihamishwa mtwara kwa kudai kuna wadudu wala pamba? hivi ulishawahi kujiuliza mtwara corridor aliyeanzisha mkapa iliishia wapi?? Hivi uliwahi kujiuliza kwanini barabara ya mtwara-dar tangu mwaka 2005 mpaka leo haijaisha?? Kung'olewa kwa reli je una habari nayo??

Kwahiyo wana mtwara si wapuuzi hata kidogo...Tiba
 
Dah...machozi yamenitoka kuona taswira na hali hii, imenikumbusha picha za watanzania kipindi cha kumng'oa mkoloni miaka kenda iliyopita ilikua ni kanzu na vibaragashia tu ndo vilionekana kwenye uwanja wa mapambano na hatimae mkoloni aling'atuka na kukimbilia kwao. Mungu wabariki watanzania hawa na kwa historia yao iliyo tukuka.

Sijawahi bahatika kuziona hizo picha za mkoloni mkuu...hebu zimwage jamvini
 
We ni mwanamapinduzi unavyoonyesha, kumbe mkuu jk anataka kila kitu kijengwe bagamoyo?

gesi+bagamoyo.jpg
Mtwara sio Wapuuzi!
 
Nyie tumikeni kama hamjamwangosiwa hapo

Mta-ua wangapi? mmesha ua sana lakini bado watu wana komaa kila kukicha dawa mkubali mnaongozwa na DHAIFU nanyi ni DHAIFU kauli mbiu sera ni GESI KWANZA UHAI BAADAE.mPAKA KI-ELEWEKE
 
Mpaka kieleweke!!

Sultani Mangungo wa Bagamoyo amesema hajui hawa jamaa wanataka nini!!
Mh kama upo jirani nae ama una connection nae mwambie wana mtwara hawataki gesi ije kwenye himaya yake bila mtwara kupewa 60% yao,na POWER PLANT lazima ijengwe MTWARA vinginevyo DHAIFU ai-ache gesi tutachimba baadae akitua zigo lililo-mwelemea.
 
mkuu big..kuna bonge la mvua linakunya, nadhani maeneo mengi leo ni mafuriko...dah!!! Mambo yanaweza yaende kombo!!

huku shangani imeshakata tayari mkuu,na uzuri ilianza kunyesha usiku,nakuhakikishia haiwez leta mafuriko kama yale yaliyopita,naomba ujizatiti tuh kwa updates mkuu,yani turudi nyuma kisa mvua??kama tumeamua kutorudi nyuma hata waje na mabomu sembuse mvua??
 
hakuna kitu kibaya kama kuwa muoga! Unaweza kunyimwa hata unyumba!

we unataka kutuhamisha jukwaa. nani kakwambia mwanamke ukimwambia ukweli atakupa unyumba? uongo ndo nguzo pekee ya kupata unyumba.
 
Mkianza kujigawa kimakundi hamtafika popote...wekeni udini pembeni!

Hakuna u-dini baba wewe ndo wataka hilo,hatutaki hao ni waislam but mada ni gesi,Kauli mbiu ambazo tayari zipo ni
1/gesi kwanza dini baadae,
2/gesi kwanza vyama baadae,
3/gesi kwanza makabila baadae,Na sasa ni
4/gesi kwanza UHAI BAADAE na nyingine zitakuja
USHAURI:Wale watumwa wa DHAIFU mwambie asituchafulie nchi kwa maslahi ya chama cha JANI LA TUMBAKU,na mafisadi wao wachache wanao linda 10% zao.POWER PLANT lazima ijengwe MTWARA umeme utatumika nchi nzima.na mikoa mingine wa-amke nao wadai rasimali zao ziwafaidishe.-
 
Habari. Majibu yote dada Tiba unayo, hiyo heading isikutishe au kukuchanganya, hoja bado ni ileile (kwenye red). Lakini vipi umeshawahi kuyasikia majibu ya TPDC yaliyotolewa na mkuregenzi jana?? Wanasema kila kitu kitajengwa mtwara(power plant nk) na bomba litakalojengwa ni kutoa gesi ya 16% na hiyo asilimia 84 itabaki mtwara kwa matumizi ya umeme nk...hivi inaingia akilini kwa jibu hili? Unaweza kutumia trilions of shs kwa ajili ya asilimia 16 tu??hapa naona wanatafuta mwanya ili ikijengwa basi wamkome nyani!!

Sisi wana Mtwara tunachohitaji viwanda, power plant, gas processing, mbolea industries, cement ind...nk, halafu baadae wawekezaji wakishakuwa wengi, southern zone itafunguka na hapo sasa gas iende kokote wanakotaka.

Hivi ulishawahi kujiuliza kwanini serikali haikupeleka gridi ya taifa south?? Unajua kwa nini kilimo cha pamba kilihamishwa mtwara kwa kudai kuna wadudu wala pamba? hivi ulishawahi kujiuliza mtwara corridor aliyeanzisha mkapa iliishia wapi?? Hivi uliwahi kujiuliza kwanini barabara ya mtwara-dar tangu mwaka 2005 mpaka leo haijaisha?? Kung'olewa kwa reli je una habari nayo??

Kwahiyo wana mtwara si wapuuzi hata kidogo...Tiba



MIA MIA MKUU,I SECOND YOU...!
KWA UFUPI HUJAACHA KITU HAPOO,,

:A S 41::A S 41::humble::clap2:
 
Waislam wanahaki kufanya madai yao kupitia chama cha siasa siyo kufanya madai kwa dini yao! Waislam wanachanganya mambo, wangetumia chama chao cha kafu au kusini hakipo?
 

Mtwara wabaki na mashimo kama MWADUI,SONGO SONGO,BUZWAGI,GEITA,kungine kwiiingi kulikobaki mashimo bila huduma bora za kijamii.


Halafu baadaye serikali ikatumia kodi zetu kugharamia ufukiaji wa mashimo waliyoyaacha wawekezaji baada ya kumaliza kuvuna madini yetu.

SERIKALI itatakiwa kutumia Dola za Marekani 1.1 milioni sawa na zaidi ya Sh1.5 bilioni kutekeleza mpango wake wa kufukia mashimo ya mgodi wa Buhemba ulioko Bunda mkoani Mara.


\source:http://www.mwananchi.co.tz/newsrids.asp?id=17366

Hakya Mungu kwa Mtwara kuna kiongozi wa serikali atakufa kifo kibaya zaidi ya kifo cha GADAFI.
 
Nyerere alikwisha sema dhambi ya ubaguzi ni mbaya kama kansa, mlianza kama wanamtwara, sasa mmefikia sisi waislamu wa mtwara, ina maana tayari mmeona kumbe hakuna mwana mtwara bali kuna waislamu, dhambi hiyo itaendelea kuwala polepole mpaka mtakapogundua kwamba nyie ni watanzania tu, nje ya utanzania hakuna mwana mtwara wala waislamu,ACHENI UJINGA HUO.
 
Back
Top Bottom