PICHA: Mkutano wa Sugu Igawilo, Mbeya!

Ubarikiwe sana Kiganyi....Yaaan Huku Kiganyi kule Crushwiser Lazima Magamba chini mkae!:rockon:
 
Endeleeni kujifariji lakini hata kama miradi ni ya WB anaye - score political points ni yeye, BTW si kazi ya Mbunge kutoa pesa mfukoni na kuleta maendeleo jimboni! Ukiendelea na perception hiyo utaendelea kupiga kura kwa Kanga na kofia na wewe na wajukuu zako mtakuwa watumwa wa kina Rizwani mpaka utimilifu wa dahari.

Vinginevyo "go & eat a Coke"

Wapiga kura wa aina yake, hatuwahitaji CHADEMA, tunataka watu wanaojua wajibu wa mbunge wa kikatiba, na wajibu wa serikali wa kikatiba! mfumo wa siasa za CCM za takrima, kanga, tshirt na kofia ndo umezalisha watu wenye fikra za Pdraze.
 
Last edited by a moderator:
Wakuu Shitambala hakuwepo maeneo hayo? maana hapo ndipo nyumbani kwao alikozaliwa kikwetu Igawilo huwa tunakuita "Hwigavilo"
 
huyu jamaa anakalia kusimama kwenye mikutano tu wakati jiji limejaa vumbiii hakuna ahadi kubwa aliyoahidi kaitekeleza na ujenzi wa barabara kwa sasa sio yeye ni project za world bank na hana influence yoyote kufanyika kwa izo project..na 2015 atang'oka hana lolote

mrudisheni yule aliyehifadhiwa kwa ukuu wa wilaya,yeye anayewajengea vilabu vya pombe. Vumbi mbeya limeanza leo? Hizo project zilikuwa wapi wakati woote wa Mpesya? Usipotaka kuona hata uonyeshwe vipi hutaona tu
 
sana kaka kawadanganya sana wanambeya na hapo umesahau kuuza gari la mkuu wa mkoa..duh kuna raha yake kutawala taifa la mambumbumbu
 
huyu jamaa anakalia kusimama kwenye mikutano tu wakati jiji limejaa vumbiii hakuna ahadi kubwa aliyoahidi kaitekeleza na ujenzi wa barabara kwa sasa sio yeye ni project za world bank na hana influence yoyote kufanyika kwa izo project..na 2015 atang'oka hana lolote

Hakuna anayeweza kuomdoa vumbi la mbeya zaidi ya wewe na mimi kupanda miti
 
kuna vijana wanajiita chadema masalia hupenda kukaa pale calabash bar dar es salaam kazi yao ni kuhakikisha sugu anaanguka sasa hapa hawaoni watu wanavyomkubali sugu au ndo kusema wamekolea na pay trade dot kijani purposely to defeat chadema program.
 
Nashangaa sijui zimetoweka au?? Ngoja nizilete upya!! Naona kuna hujuma hapa.
 
Mkuu nashukuru kwa taarifa hii lakini ukiwa unatafakari hayo, hapa vipi???
Ahadiza JK – 2010 - 2015
1. Kujengareli mpya kutoka Dar es Salaam mpaka mikoa ya Kanda ya ziwa - Nzega, Tabora
2. Mkoawa Tanga kuwa Jiji la Viwanda - Tanga mjini
3. Taborakutumia maji ya Ziwa Victoria - Igunga
4. Kulipamadeni ya chama cha Ushirika mkoa wa Shinyanga (SHIRECU) - Shinyanga
5. Kumalizamigogoro ya Ardhi nchini - Dodoma
6. Wakulimakuacha kutumia jembe la mkono - Dodoma mjini
7. Kuwapatiatrekta wakulima - Kata ya Mrijo, Dodoma
8. Wananchikutoondolewa kwenye Ranchi ya Misenyi - Kagera
9. KujengaUwanja wa Ndege Misenyi - Kagera
10. KupanuaUwanja wa Ndege Bukoba - Bukoba Mjini
11. Kujengauwanja wa ndege mkubwa Kigoma - Kigoma Mjini
12. Mtukulakupatiwa umeme kutoka Uganda - Kagera
13. Mikoa ya Kagera, Kigoma, Lindi, Rukwa naRuvuma kuunganishwa katika gridi ya taifa ya umeme - Kagera
14. KuimarishaTakukuru kwa miaka mitatu - Kagera
15. Hukumukwa waliopatikana na hati ya kuua albino - Mbeya
16. Kununuameli kubwa kuliko MV Bukoba - Kagera
17. Kuanzishabenki ndogondogo kwa ajili ya wajasiriamali
18. Serikalikuvisaidia vyama vya ushirika - Mwanza
19. Kuimarisha usalama Ziwa Victoria na ZiwaTanganyika kwa kupeleka kikosi maalum chenye vifaa kupambana na wahalifu -Mwanza
20. Wilayaya Geita kuwa hadhi ya mkoa Januari mwakani - Geita
21. Kulindamuungano kwa nguvu zote - Pemba
22. Kuwajengeanyumba waathirika wa mafuriko Kilosa - Morogoro
23. Kununuameli mpya kubwa Ziwa Nyasa - Mbeya mjini
24. Kujengabandari Kasanga – Rukwa
25. Kumalizatatizo la walimu miaka mitano ijayo - Songea
26. Kufufuamgodi wa makaa ya mawe Kiwira - Mbeya
27. Kuzuiahatari ya kisiwa cha Pangani kuzama - Tanga
28. Kununuabajaji 400 kwa ajili ya kubeba wajawazito hasa vijijini - Iringa
29. Kujenga barabara yenye kiwango cha lamikutoka Same mpaka Kisiwani – Kihurio na kuiunganisha na barabara kuu ya Moshi -Dar es salaam - Same mkoani Kilimanjaro
30. Kumalizatatizo la maji katika wilaya ya Same - Same Mjini
31. Kuboreshabarabara Igunga - Tabora
32. Kusambaza walimu 16,000 katika shule zasekondari zenye upungufu makubwa wa walimu - Kisesa Magu
33. Kununuavyandarua viwili kwa kila kaya - Mbeya Mjini
34. Kuzipandisha hadhi hospitali maalumu sabanchini kuwa za rufaa ili kuipunguzia mzigo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili(MHN) - Hydom Manyara
35. Kulindaamani nchini kwa kuzuia chokochoko za kidini, kikabila na kisiasa - Musoma
36. Kulindahaki za walemavu - Makete
37. Kujenga baabara ya Njombe - Makete kwakiwango cha lami,urefu wa kilomita 109 - Iringa mjini
38. Kujengabarabara Musoma – Mto wa Mbu Arusha - Arusha
39. Kuanzishajimbo la Ulyankulu- Shinyanga Mjini
40. Kujengabarabara ya lami Manyoni-Kigoma – Kaliua,Tabora
41. Kukarabatibarabara ya Arusha Moshi - Arusha Mjini
42. Kuboreshabarabara ya Handeni, Kondoa, mpaka Singida - Dodoma
43. Kuwafidiawanakijiji ng’ombe waliopotea wakati wa ukame mwaka 2009 - Longido
44. Vijiji vyote vilivyoko kilomita 15 kutokakwenye bomba kuu la mradi mkuu wa maji wa Ziwa Victoria - Shinyanga-Kahamakuunganishiwa maji - Shinyanga
45. Tatizola umeme kufikia kikomo Novemba mwaka huu mkoani Arusha – Arusha mjini
46. Kukopeshawavuvi zana za kilimo - Busekera, Wilaya ya Musoma
47. Kuwapatiamaji wakazi wa Wilaya ya Longido - Longido
48. Kujenga barabara ya lami kupitiapembezoni mwa Hifadhi ya Taifa ya Seregenti – Ngorongoro
49. Utekelezaji wa mpango wa maendeleo yakilimo kuwasaidia wafugaji kuweza kupata na kutunza mifugo yao vizuri - Mbulumkoani Manyara
50. Kusambazamaji nchi nzima - Babati vijijini
51. Kusambaza umeme, utoaji wa huduma zaafya, na uboreshaji wa kilimo cha umwagiliaji na utoaji ruzuku kwa wakulima.mwaka 2010-2015 - Babati vijijini
52. Kuongeza mara tatu idadi ya wananchiwanaonufaika na ruzuku ya pembejeo za kilimo kwa mfumo wa vocha - Iringa
53. KuhakikishaIsimani inapata maji ya uhakika - Iringa
54. Kuiwekea lami barabara inayokwenda katikaHifadhi ya Taifa ya Ruaha, ambayo ndiyo hifadhi kubwa kuliko zote Tanzania -Iringa
55. Kulindausalama wa wananchi kwa ujumla ili kudumisha amani na sifa ya nchi -Ifunda
56. Kutokomezamalaria 2015 - Bunda, mkoa wa Mara
57. Kuwapawanawake nafasi zaidi - Kilolo, Iringa
58. KuisadiaZanzibar kuendeleza miradi mbalimbali ya kijamii - Kibandamaiti Mjini Zanzibar
59. Kuipandisha hadhi hospitali ya MnaziMmoja Zanzibar kuwa ya rufaa - Kibandamaiti mjini Zanzibar
60. KuisaidiaZanzibar kila panapohitajika msaada - Kibandamaiti
61. Serikalikujenga upya bandari ya Mbambabay - Ruvuma
62. Ununuziwa Meli mpya yenye uwezo wa kubeba tani 400 - Mbambabay Ruvuma
63. kufufuachama kikuu cha ushirika cha wakulima wa Mbinga (MBICU) – Ruvuma
64. Raiswa Marekani Barack Obama kuimwagia misaada Tanzania – Ruvuma
65. Hakutakuwana umwagaji wa damu baada ya uchaguzi-Dar es Salaam
66. Mtwarakuwa mji wa Viwanda – Mtwara
67. Ujenziwa kwanda cha dawa ya kuua viluilui vya mbu - Kibaha
68. Hospitaliya Tumbi kuwa ya mkoa - Kibaha
69. Halmashauriya manispaa ya Kibaha kutenga eneo maalumu la viwanda - Kibaha

Mkuu unakaukweli kidogo nazikumbuka sana baadhi ya ahadi zake mfano

1. Kutafuta computer 1000 na kuzigawa mashuleni
hakuna kilichotendeka

2. Kuongea na wamiliki wa magari ili wazee wapande bure magari yao - labda hii ili sababisha wazee wampe kura zao
hakuna utekelezaji

3. kujenga barabara iendayo makaburini na machinjio mpya
hakuna kitu

4. kuanzisha mradi wa ufugaji samaki
nasikia mabwawa 2 yameanzishwa Igawilo na Nsalaga

5. kuanzisha/kufufua bandari kavu ili kupanua uwigo waajira kwa vijana
hatujui kinchoendelea hadi sasa

ingawa huo ujezi wa hizo barabara alikuwa anazunguzia na hii ndiyo inmpati chati kubwa sana Mbeya maana hakuna kipindi ambacho barabara zimejengwa kwa wingi kama sasa hapa Mbeya

etc
 
Sugu moto chini*3.Kweli vijana si kwamba wana kiu tuu ya maendeleo bali hata kiu ya mabadiliko ya chama wanayo.kumbukeni kuwasisitizia wajiandikishe kwenye daftari la wapiga kura,kupiga kura na kulinda kura mmesha pata wanachama wakutosha sasa ni elimu na umuhimu wakupiga kura ndivyo vilivyo bakia sasa.M4C
 
Hakuna asiyejua, sugu ni kama mvua akiamua kunyesha ananyesha.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
IMG_0534.JPG

Mh. Mbunge akiwasili kwenye eneo la mkuntano...
IMG_0536.JPG

Umati wa wananchi waliokuwa wakimsubiri Mbunge wao...
IMG_0539.JPG

Mh. Sugu akijiandaa kupanda kwenye meza tayari kuzungumza na wananchi wa kata ya Igawilo iliyoko bonde la Uyole Mbeya Mjini...
IMG_0542.JPG

Mh Sugu akihutubia umma...
IMG_0564.JPG

Umma ukiripuka wakati Mbunge wao Sugu akizungumzia harakati za maendeleo Mbeya Mjini...










Ikikukera "go & eat a coke"

Asante mkuu umesomeka,dadadeki mpaka kieleweke,hutaki unaacha
 
C'mon kwani miradi ya mabasi ya mbao yanayokwenda kasi, au ule wa kuuza kigamboni ni miradi ya akina Zungu na Idd Azan au wana influence ? Mbona unatoa pumba za ajabu ajabu pasipo kufikiri. Yeye ni mbunge, wewe unajuaje influence yake au mpaka aongope. Unajua mipango ya maendeleo ya mji, jiji inapangwa na nani, na financing zake zikoje ?? au mpaka nae atembeze bakuli na kuongopa kila sehemu duniani ndo utaamini anahudumia wapiga kura wake ? Mbunge aliyepita ndiyo hivyo, alifanya nini haswa na sasa unasikia yupo anagawa wali na nyama, DC mzima anagombania ukoko wakati wa ziara ya PM utafikiri hajawahi kula wali wa kyela !!
This young man ni habari nyingine, na mtashangaa na fitna zote atawapiga chini tena kwa kishindo 2015, na hamna jeuri ya kumpeleka mabwepande maana patachimbika zaidi !!
Unadhani hata hao mapijo wengine wa Kyela na Rungwe kwa nini walimwalika katika ile sala ya kuwalaani wale wauaji, wanaojaza mke, watoto na wajukuu NEC ili waje waendelee kuiba zaidi hata wakistaafu.. !!

huyu jamaa anakalia kusimama kwenye mikutano tu wakati jiji limejaa vumbiii hakuna ahadi kubwa aliyoahidi kaitekeleza na ujenzi wa barabara kwa sasa sio yeye ni project za world bank na hana influence yoyote kufanyika kwa izo project..na 2015 atang'oka hana lolote
 
Back
Top Bottom