Cuf hakuna mkristo hata 1 ila chadema tupo dini zote
Wakristo wamekatazwa kujiunga na cuf?? nipe kipengele cha katiba ya cuf inayokataza hayo??
Kwa wakristo kutokujiunga na CUF inaonyesha walivyo wadini..
Besides huo ni uwongo mtakatifu; chadema waislamu wabeba mabegi ya wakristo tu hawawezi kuwa viongozi top leaders watasubiri sana..