Wewe anza kujibu kwanza, maana ndio ulianza na blank allegation kwamba hawa jamaa (meaning) CUF wenye akili timamu wanajua wanfanya siasa za aina gani? nami nikakujibu kuwa hata sisi CUF wenye akili timamu tunajua nyinyi mnaendesha siasa za namna gani?
Hembu anza wewe kujibu ni siasa zipi nyie wenye akili timamu mnazijua cuf wanafanya??
Siasa zao ni kuwa kibaraka wa CCM