Hayo ndio matumizi machafu ya kodi zetu kugharamia mbio za mwenge na baada ya mda kuagiza dawa kwa waathirika wa ukimwi ambao wameambukizwa kupitia hii mikesha. Tutegemee ni nini kinafanyika kwenye hii mkesha zaidi ya kubadilishana maradhi.Kwanini mwenge usihifadhiwe kukikucha ndio kufanyike huo mkusanyiko je kuna shughuli yeyote inafanyika usiku huo.Sipati jibu kama kwenye msafara wa mbio za mwenge kukawa na mwathirika wa ukimwi nae akapanga kuusamba atausamba kwa watu wangapi kwenye hii nchi kupitia hii mikesha tunavyopenda kuwapapatikia wageni bila kujali madhara yao.