Mulugo wa Zimbabwe yupo hapo???
Yeye mwenyewe hajui namna ya utendaji kazi. Je anawafundisha kitu gani hao vilaza wenzake?
kaza buti jk, acha wenye viwanda vya uongo waendelee kuuzalisha.
anakuwaga na vikao ambavyo sio vya kazi?
Afsa mwandamizi na waziri mzungu???duuuh!!Tumeshapigwa bei wallah!!!
Hii sio SEMINA ELEKEZI kwa jina jipya la KIKAO KAZI kweli??????
Ina maana hadi leo hawa watendaji waandamizi hawajui majukumu yao mwaka wa saba wa utawala wa JK??????
Semina elekezi hizi wakitoka hawa watakuja manaibu waziri,wakuu wa mikoa,wilaya.......posho kibaoooo
Yeye mwenyewe hajui namna ya utendaji kazi. Je anawafundisha kitu gani hao vilaza wenzake?
Atakuwa ni huyo mzungu ana-present!!! Vikao vya Rais, na mawaziri wake kuwe na projector!!!!! Mawaziri wenyewe wa-kina Mulugo? You must be kidding!!!
kuna maofisa waandamizi wa serikali - wazungu??
hapo chacha...ina maana hiyo mipango haihitaji usiri wowote mpaka huyo mzungu akawepo hapo au ndo masharti ya misaada?