Mtela Mwampamba
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 537
- 347
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Mh.Mwigulu Nchemba akiwapungia mkono wananchi na wanachama wa CCM waliofika kwenye mkutano wa kampeni za uchaguzi kata ya Themi Jijini Arusha. |
Mkutano umeshamalizika hapa kata ya Themi jijini Arusha,wananchi wanarejea makwao huku wakiwa na mwamko wa kupiga kura kwaajili ya CCM kwanza. |
CCM ni chama cha wazee?Mtoto huyu amehudhuria mkutano wa kampeni kata ya Themi jioni ya leo akiwa ndani ya vazi na bendera ya CCM.(Picha zote na HM) |