mzee wa njaa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2011
- 1,366
- 223
Mwenye macho haambiwi Tazama naona igunga hali mbaya kwa cuf na magamba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
<br />Kila siku mmnandamana!<br />
Mnapoteza nguvu zenu bure.mnaishia kuungua jua tu.Viongozi wenu wanajilipa 600,000! Poor CDM fans!
wakuu picha haziko poa sana maana nilikuwa mbali kidogo,lakini ukiangalia kwa makini utamuona wenje akiwa kwenye gari la wazi akipunga mikono
Kila siku mmnandamana!
Mnapoteza nguvu zenu bure.mnaishia kuungua jua tu.Viongozi wenu wanajilipa 600,000! Poor CDM fans!
Kila siku mmnandamana!
Mnapoteza nguvu zenu bure.mnaishia kuungua jua tu.Viongozi wenu wanajilipa 600,000! Poor CDM fans!
Kila siku mmnandamana!
Mnapoteza nguvu zenu bure.mnaishia kuungua jua tu.Viongozi wenu wanajilipa 600,000! Poor CDM fans!
Unajua hilo? Au unachekelea ukiwa hujui kinachokutekenya?Kila siku mmnandamana!
Mnapoteza nguvu zenu bure.mnaishia kuungua jua tu.Viongozi wenu wanajilipa 600,000! Poor CDM fans!
Kila siku mmnandamana!
Mnapoteza nguvu zenu bure.mnaishia kuungua jua tu.Viongozi wenu wanajilipa 600,000! Poor CDM fans!
<br />Ukubwa wa pua sio wingi wa kamasi.ccm tunarudi kuchuku nyamagana hata kwa ndumba.mtakoma!ccm jana tulikuwa hapo tunasikiliza pumba zenu.so wingi wa watu is nt an issue.u luk like u cnt thnk u chadema.
men hivi are you CCM's for real,yaani bado mnapigia debe mutu lmesema hata haljui hata kwanini nyie ni masikini wa kutupwa na mali mnazo za kutupa,for real. Any way haya bana. Naquote jambo alilosema Wenje kuwa 'aliyetengeza Titanic alisema Titanic can never sink alidiriki kusema kuwa hata Mungu hawezi kuizamisha na captain alisema watu waendelee na shughuli zao hata baada ya kugonga baraf maana aliamini hawatazama kamwe wajanja wakaanza kupanda juu na maboya mwisho el capitano alikufilia kule,ukiona watu kama hivyo unasema haustuki unatakiwa kustuka kina rostam wamestuka kuwa dude linazama hilo wanapanda zao,nyie bado mnashika mabango mtakufa maji.Ukubwa wa pua sio wingi wa kamasi.ccm tunarudi kuchuku nyamagana hata kwa ndumba.mtakoma!ccm jana tulikuwa hapo tunasikiliza pumba zenu.so wingi wa watu is nt an issue.u luk like u cnt thnk u chadema.
Jamii za dunia zimemwaga damu kujiletea mabadiliko, unaongelea kuungua na jua? Sio rahisi kuondoa madarakani taasisi iliyoshika mamlaka ya nchi miaka 50 kama utakaa kivulini unaogopa "kupoteza nguvu zetu bure." Watanzania wanazidi kuamka kila uchwao. Leo unasema unawaonea huruma, "poor CDM fans," wape general elections mbili tu mbeleni....Mnapoteza nguvu zenu bure.mnaishia kuungua jua tu
Picha za mwaka jana kwenye kampeni mnatuletea leo!
Kweli CDM mmeishiwa akili