assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,904
- 4,050
Huyu ndie mbunge maarufu wa CHADEMA aliYekatisha ziara yake ya Dominica Republic kwa oda ya mkuu wa kambi ya upinzani bungeni
ukishaoa hutakiwi kuendelea kutamani vimwanakama mbunge mwenyewe ndio huyo basi naomba mjadala ufungwe sitamlaumu mh mbowe tena.
propaganda za buku 7.
ukishaoa hutakiwi kuendelea kutamani vimwana
HUYU NDIE MBUNGE MAARUFU WA CHADEMA ALIEKATISHA ZIARA YAKE YA DOMINICA REPUBLIC KWA ODA YA MKUU WA KAMBI YA UPNZANI BUNGENI
hao wenye nyumba ndogo je hawajaoa?
au sbb ni .....