Confederate Spy
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 426
- 144
Pia Selasini uko sahihi kuhusu suala la bajeti.Cha muhimu shirikiana na ben saanane kujenga Rombo acha hofu unayoonyesha hapa.mshirikishe hata edward kinabo.najua ben pia anajipanga kwenda rombo lakini kauli kama zako za kuegemea kwa JK ndizo zitakazokumaliza kwani nimeona jinsi mpinzani wako anavyojua kuyatumia haya kukumaliza kisiasa.nilishasema mkicheza mtakosa rombo kama tarime.ninyi nyote ni wazuri wa propaganda na hatari sana kama mtachuana huko.....
Kinabo ndiye anamchafua Selasini kwenye mtandao mkuu.Anafanya kazi Tanzania Daima na kutumia nafasi hiyo kwa viongozi wa juu wa Chama
Pia Selasini anajua mipango yote ya akina Ben Saanane ya kupanga mikati kumuengua kule Rombo na propaganda chafu.Ni kweli kama ni kutumia makosa ya mpinzani waje ben ni mzuri zaidi.
Nimeona hili suala jinsi lilivyochochewa na Ben Saanane huko facebook na Twitter na alivyoweza kuwaingiza kingi vijana wa rombo.
Pia amewasiliana na mitabdao yake huku rombo kuhusu hilo kwa lengo la kuchochea propaganda dhidi ya Selasini.Tunaandaa Tarime nyingine.