Mbona mnachanganya habari? ingekuwa haramu kama hayo yangefanyika kanisani, huko club ndio mahali pake acheni ushamba.
Dunia ina mambo kuna chumba cha kukaa uchi
Maumbile tu tofauti lakini hakuna anaeweza kumshituwa mwenziwe, mtu na shoga wake.
Hivi kweli unaweza ukawa na imani na akili ya hawa watu?
Ukipeleka mtoto wako akasome Kampala mzazi imekula kwako!
hizo n style za kawaida tu za kucheza,ata tz zipo
wengi wao wanatumia ARV
Watoto wanakwashakoo?