Pakawa
JF-Expert Member
- Mar 11, 2009
- 7,670
- 13,150
Shukrani nyingi kwako Finest umetuwakilisha kikamilifu. Nasi tunaamini tumeshiriki vyema katika msiba. Ubarikiwe sana. Once again Regia upate pumziko la milele, Uende salama dada yetu, mdogo wetu, mtanzania mwenzetu, mwanetu na zaidi SHUJAA WA KWELI. Hatuna namna ya kukushukuru Regia kwa jinsi gani ulijitolea kuitetea haki ya kila mtanzania ulitamani kuiona Tanzania yenye mabadiliko, Tz. iliyokombolewa lakini bado tunasema asante na TUTAKUKUMBUKA DAIMA.