Picha: Mazishi ya Regia Mtema Ifakara

DSC_0433.JPG

Nilifurahi kumuona huyu mtu amevaa hii tshirt huko Ifakara JF iliwakilishwa vizuri..
 
samahani finest yaani umetufumbua mambo mengi
angalia picha ya kwanza utaona kuna mishenzi mingine aikutakiwa hata kukaa bungeni ,..nikimaanisha bungeni inalala na hata misibani aioni aibu inalala mbele za wakezao

picha ya tatu utaona abbas mtemvu asivyo na adabu kwenye misiba anacheka kama kuna mtu kamshika makalio
najaribu kuvuta lenzi ya kamera yangu kwenye picha yako kujua nani alikuwa nyuma yake si unajua mtoto wa ilala hayo mambo kwao hamu...naomba ulie karibu nae mwambie ajiheshmu next tym atutampeleka kwenye misiba akalambe per diem awwe na adabu usikumwema

Hapana mkuu P DIDDY taratibu kuna watu hawajalala kwenye msiba huu ,umesoma post ya kwanza ya Josephine?
tuwe wavumilivu, ndugu.

PUMZIKA KWA AMANI MPENDWA WETU REGIA MTEMA.
 
Rejao mpaka azione za Michuzi....

[h=3]Mazishi ya Marehemu Regia Mtema mjini Ifakara, mkoani Morogoro[/h]



Waombolezaji mazishini







Viongozi wa CHADEMA

Wazazi wa marehemu

Wazazi wa Marehemu wakiweka udongo kaburini

Baadhi ya waombolezaji wakiwa kwenye mazishi ya Marehemu Regia Mtema mjini Ifakara




Baadhi ya wabunge toka vyama mbalimbali wakiwa mazishini

Vijana wa ulinzi wa CHADEMA wakithibiti umati wa waombolezaji

Umati wa waombolezaji makaburini

Mwili wa marehemu ukiwasili makaburini

Vilio na majonzi

Pacha wa marehemu akibembelezwa


Kwaya ikiimba mapambio




Wabunge wa vyama mbalimbali wakisubiri mwili uwasili kwa mazishi

Vijana wa ulinzi

Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Freeman Mbowe akiwasili

Jeneza lenye mwili wa marehemu likishushwa makaburini

Rais Kikwete akiongea na Spika Anne Makinda. Pembeni yao ni Naibu Spika Job Ndugai na Mh Hawa Ghasia

Mdogo wa marehemu

Wanahabari wakirekodi tukio hilo




Salamu za Shukrani toka kwa msemaji wa familia




Ibada ya mazishi ikiendelea




Spika Anne Makinda akiweka udongo kaburini

Naibu Spika akiweka udongo kaburini

Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Freeman Mbowe akiweka udongo kaburini

Sehemu ya waombolezaji

Karibu Mkuu wa CHADEMA Dkt Wilbroad Slaa akijiandaa kuweka shada ya maua kaburini
 
TF na wenzako asanteni sana kwa picha
Kweli zimetufanya hata ambao hatukuwepo tujue ni nini kilitokea
Asanteni sana na naamini mwenzetu amepumzika kwa amani sana
 
Mmetupa update,lakini kuna bias ya taarifa na picha za tukio hili. Mazishi haya yalihudhuriwa na Rais,mh.Jakaya Kikwete,lakini hatuoni picha tangu alipowasili hadi mazishi yanamalizika. Watanzania kwa mila na desturi hata kama kuna ugomvi,msiba hutuunganisha,iweje leo rais wa nchi ahudhurie mazishi ya mbunge wa nchi anayoingoza,then presence yake ipewe attention ndogo kiasi hichi.! Hatuwezi kuwa biased hata kwa mambo ambayo hayana credit kisiasa kama msiba. Jirekebisheni!!!

Pili,aibu nyingine ni hii ya Dr Slaa kwa mara nyingine tena kuendelea kuonyesha chuki na uhasama alionao dhidi ya Rais Kikwete! kinachomkimbiza kwa kumkwepa rais kila linapotokea tukio la kuwakutanisha ni nini? Mwenye clue ya hasa kwa nini Slaa humkimbia JK anijuze tafadhali..
 
Mmetupa update,lakini kuna bias ya taarifa na picha za tukio hili. Mazishi haya yalihudhuriwa na Rais,mh.Jakaya Kikwete,lakini hatuoni picha tangu alipowasili hadi mazishi yanamalizika. Watanzania kwa mila na desturi hata kama kuna ugomvi,msiba hutuunganisha,iweje leo rais wa nchi ahudhurie mazishi ya mbunge wa nchi anayoingoza,then presence yake ipewe attention ndogo kiasi hichi.! Hatuwezi kuwa biased hata kwa mambo ambayo hayana credit kisiasa kama msiba. Jirekebisheni!!!

Pili,aibu nyingine ni hii ya Dr Slaa kwa mara nyingine tena kuendelea kuonyesha chuki na uhasama alionao dhidi ya Rais Kikwete! kinachomkimbiza kwa kumkwepa rais kila linapotokea tukio la kuwakutanisha ni nini? Mwenye clue ya hasa kwa nini Slaa humkimbia JK anijuze tafadhali..
Msiwe mnapenda kuongea vitu ambavyo hamna uhakika navyo (porojo) ni mara mia kuuliza kwanza kuliko kuongea kitu ambacho hauna uhakika nacho.
 
Back
Top Bottom