hivi hakuna picha za ndugu zake maana mie nimeona za vyama vyama tu. au minezimiss maana nyingi kama sio zote hakuna iliyosema familia or hata kwenye magazeti.
Safari njema kamanda wetu Bi.Regia ipo siku tutakutana ahela,Tanzania na dunia nzima kwa ujumla tutakukumbuka milele and your spirit will always be with us!
Tangulia Regia, sote tu njiani. Pamoja na huzuni uliyotuachia, lakini pia umetuachia mfano mzuri wa mtu wa watu, aliejituma bila kusukumwa na mpenda maendeleo. Mtu asiye mwoga wa kusema na kutenda anachokiamini, yaani mtu asiye mnafiki. Ni nadra sana kuwapata watu wa aina hii katika dunia hii ya leo, hasa mtu mwenyewe akiwa amejiegemeza kwenye siasa.
Kimwili haupo pamoja nasi, lakini mfano uliotuachia utaendelea kuishi nasi milele, na kama tuna akili, utakuwa umefanya kazi kubwa sana ya kutengeneza kizazi chetu. Asante kwa hilo
Jamani nimefuatilia picha zoote zilizopigwa msibani hadi kwenye blog nyingine pia nikasikia majina ya viongozi wengi yakitajwa .......hasa wale wa CDM na CCM lakini sikumuona wala kumsikia Shibuda yuko wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.