Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
Last Friday night nilikuwa Mzalendo pub kwenye shoo ya Machozi band, kuna dada mmoja aliniboa sana. Alikuwa anapuliza moshi kama treni na kutukera wote tuliokuwa tumekaa meza ya mbele yake. Watu walipojaribu kumsihi azime fegi yake alikuja juu na kusema kila mtu na starehe yake, asiyependa fegi akae mbali! Wallah nilisikia hasira sana na nilitamani nimpige vichwa ila kwa heshima ya shemeji yenu nilijizuia. Hivi Tanzania kuna sheria yoyote kuhusiana na uvutaji wa sigara kwenye public?
Last Friday night nilikuwa Mzalendo pub kwenye shoo ya Machozi band, kuna dada mmoja aliniboa sana. Alikuwa anapuliza moshi kama treni na kutukera wote tuliokuwa tumekaa meza ya mbele yake. Watu walipojaribu kumsihi azime fegi yake alikuja juu na kusema kila mtu na starehe yake, asiyependa fegi akae mbali! Wallah nilisikia hasira sana na nilitamani nimpige vichwa ila kwa heshima ya shemeji yenu nilijizuia. Hivi Tanzania kuna sheria yoyote kuhusiana na uvutaji wa sigara kwenye public?