Hivi wazanaki nao wana magoti kumbe?
Kajidharirisha, utapigiaje magoti mtu unaemzidi. Asirudie tena
Kajidharirisha, utapigiaje magoti mtu unaemzidi. Asirudie tena
Mkuu Una Utani Na Sisi? Nadhani Ni Utaratibu tu Hata Kwa Makabila Mengine Kama Sijakosea!
Kajidharirisha, utapigiaje magoti mtu unaemzidi. Asirudie tena
watu wote wana magoti, we unadhani bila magoti watatembeaje au kukaa bila magoti, hadi robot ametengenezewa magoti ili aweze kujikunja, siku nyingine unaweza ukauliza hivi watu fulani kumbe wana vichwa...Hivi wazanaki nao wana magoti kumbe?
Hapa sijaelewa .. Inabidi tujue kwa undani kitu gani kipo behind haya magoti?
Mkuu Una Utani Na Sisi? Nadhani Ni Utaratibu tu Hata Kwa Makabila Mengine Kama Sijakosea!
No hapo ni Kanisani na mama Nyerere anasali, hivyo ni Mseveni alienda kumsalimia maana aliingia ibada ikiwa imeshaanza maana yeye si wa dini hiyo ya mama Nyerere.