Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,791
Jaribu sasa uone
Jaribu sasa uone
Huyo babu wa loliondo aliwaingiza watu wengi Chaka aise....Jaribu sasa uone
mimi namteteaHuyo babu wa loliondo aliwaingiza watu wengi Chaka aise....
OVA
Kweli kabisa.....hyo unaitwa maboya Njooni wajanja tupige helamimi namtetea
Kutoka maktaba hahahahmbona unafukua makaburi ya zamani?
Mzee una uhakika ni magufuli huyu? au umeangalia kipara tu? wacha anywe na ningependa kikwete anywe pia labda he will come to his mind
Sijui hicho kikombe kilimvuruga akili JPM!!??
Maana simuelewi
Jamani hata chai asinywe? Tehe tehe tehe! Hapo bado maandazi tuu au kachapati
Acha woga wewe ukishakuwa public figure hakuna kitu personalMada yenyewe expired,na hizi mada zenu ndio zinazosababisha serikali ikodoe macho kwenye jf,issue personal hizi unaweka hapa inaelekea hata majiran zako unajua wanakula nini
No.coment!ila hicho kikombe kikubwa!!hivi kilijazwa dawa!!