PICHA: Mafuriko yalikumba jiji la Dar es Salaam

DSC_5047.JPG
 
Hawa jamaa wanatumia matatizo ya wana-nchi kutoka/kujiapatia umaarufu kisiasa,sasa anapiga picha na bibi hili iweje?

Haya mafuriko yanaibua mengi. Hizi paa za mabanda zimekuwa hivyo tangu awali au ni kipindi hiki cha mafurikop? Maa naona tairi za gari ndio zinazoshikilia miundo ya kuhimili paa.
 
miaka 50 ilisherehekewa juzi juzi tu na tuliohoji kuwa hakuna la maana hapo tuliambiwa ni vipofu..................sasa kumbe wao ndiyo vipofu kabisa.............
Mafurikoii.JPG
 
attachment.php


DSC_5031.JPG

Sipati picha, ni vikosi vya uokoaji au vikosi vya vita? Mbona wamevalia kivita, virungu, risasi na bunduki? Hapa niko gizani sijui kinachoendelea katika uokoaji wa staili hii.

ni vema nipigwe ban kuliko kukaa kimya, hizi picha mbili zimeniudhi sana!! yaani badala ya kuja na vifaa vya kuokoa askari wamejaza mabomu vifuani... huu ni ushenzi... Vikosi vya uokozi vipo wapi?
 
ni vema nipigwe ban kuliko kukaa kimya, hizi picha mbili zimeniudhi sana!! yaani badala ya kuja na vifaa vya kuokoa askari wamejaza mabomu vifuani... huu ni ushenzi... Vikosi vya uokozi vipo wapi?
Jomba punguza hasira, matukio ya emergenzies kama hizo yanatumiwa na baadhi ya watu kujinufaisha kwa kupora mali za wengine.
Ni muhimu kukawa na patrols za aina hii ili kualert jamii kutohalifu!
 
zile helkopta za uchaguzi zipo wapiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, mtusaidie sasa, ndo wakati tunapozihitaji sana, mungu tusaidie
 
Nilidhani Serikali yetu inajifunza baada ya matukio makubwa yakitokea kama mkuu wa nchi alivyosema baada ya tukio la Nungwi aliposema 'serikali imeliona tatizo na wengi wasingefariki kama tungekua na life jackets na boti za uokoji za kutosha. Tulishuhudia maisha ya watanzania yakipotea kwenye ajari ya Mv. Bukoba na sasa ni Mv. Island sasa na inaonekana vwanzo vinafanana. Serikali imeliona hili na tutahakikisha tatizo kama hili halitokei tena kwa kuhakikisha tunavifaa vya uokoaji vya kutosha' Swari langu kwa serikali na huyo mkuu wake, je hivyo vifaa bado havijanunuliwa? Na je nikweli serikali inajifunza baada ya makosa kutokea? Mimi kama mimi naona hakuna kitu kama hicho bali ninachoona nikwamba SERIKALI YETU HAIJALI WANANCHI WAKE.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
attachment.php


DSC_5031.JPG

Sipati picha, ni vikosi vya uokoaji au vikosi vya vita? Mbona wamevalia kivita, virungu, risasi na bunduki? Hapa niko gizani sijui kinachoendelea katika uokoaji wa staili hii.

Huu ni uokoaji Tanzanian Style....Miaka 50 ya uhuru wa Tumethubutu, Tumeweza na Tunasonga mbele.

Shame on us.:embarassed2:
 
Aksante kwa picha nzuri kk, ila ile ya Jangwani kwa Ynga imenivuta sana.
 
huyu mama makinda ni kwamba analia ama_...aache kamba zake hapa,kamwe siwezi kumwamini kwamba ana uchungu na walala hoi huyu...pumbafuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu....i hate her
 
Back
Top Bottom