Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
RPC Simon Sirro, asante kwa kuepuka sababu za 'kiintelejensia' zinazotolewa kukandamiza haki ya kuandamana; hata hivyo usishangae iwapo IGP atatangaza uhamisho kwa Makamanda wa Polisi wa Mikoa na si ajabu ukahamishwa. Asante kwa kusaidia kuepusha maafa kama ya Arusha.