AlamaZA NYAKATI
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 274
- 28
saa ya ukombozi ni sasa
mabango yote yana ujumbe mzito lk hilo la ikulu chai bure ni kiboko huko tunakoenda chai watu watakunywa siku za sikukuu tu.hayo ndo maisha bora wanduguNimeipenda hiyo iulu chai bure bei ya sukari utaijuaje mjomba???? watu wamechoka kwa kweli
Mimi naamini na nitaendelea kuamini kwamba maandamano yatakayoleta MABADILIKO YA KWELI na ya KUDUMU ni yale yatakayoandaliwa na WANANCHI wenyewe bila kuwahusisha WANASIASA. Vinginevyo tuendelee kufanya hizi sinema zisizo tofauti na FIESTA zinazoandaliwa na CloudsFM.
Mimi naamini na nitaendelea kuamini kwamba maandamano yatakayoleta MABADILIKO YA KWELI na ya KUDUMU ni yale yatakayoandaliwa na WANANCHI wenyewe bila kuwahusisha WANASIASA. Vinginevyo tuendelee kufanya hizi sinema zisizo tofauti na FIESTA zinazoandaliwa na CloudsFM.
Ni wananchi ambao kila wanachoandaa ni kwa manufaa na maslahi yao kwanza. Ninachomshukuru Mungu ni kuwa vyombo vyetu vya dola vimeanza kuelewa kuwa maandamano kama haya hayana madhara kwa yeyote. Hakufa Mwananchi wa kawaida MZA.WANASIASA siyo WANANCHI?
Baadaye tuwaulize viongozi wetu wa CHADEMA gharama zilizotumika kuandaa fiesta hii. Ruzuku yao ambayo ni kodi zetu imepanda sana baada ya kupata Wabunge, Madiwani wengi na kura nyingi za Urais. Fedha hizi zinapaswa kutumika hivi?
Baadaye tuwaulize viongozi wetu wa CHADEMA gharama zilizotumika kuandaa fiesta hii. Ruzuku yao ambayo ni kodi zetu imepanda sana baada ya kupata Wabunge, Madiwani wengi na kura nyingi za Urais. Fedha hizi zinapaswa kutumika hivi?
- Moja wapo ya sabau zilizofanya wananchi wasichague kwa wingi zaidi vyama vya upinzani, ni kwa kuwa HAVIVUMI
- Moja wapo ya sababu zilizofanya wapiga kura waipigie zaidi CCM, ni kwa sababu INAVUMA
- Mojawapo ya sababu iliyoifanya CHADEMA iongoze katika kura zaidi ya vyama vingine vyote vya upinzani ni kwa sababu ILIVUMA kuliko vingine
- Mojawapo ya vitu vitakavyoendelea kuiweka CHADEMA juu, ni kwa kuendelea kUVUMA
Baadaye tuwaulize viongozi wetu wa CHADEMA gharama zilizotumika kuandaa fiesta hii. Ruzuku yao ambayo ni kodi zetu imepanda sana baada ya kupata Wabunge, Madiwani wengi na kura nyingi za Urais. Fedha hizi zinapaswa kutumika hivi?