Msafara wa magari umeanzia Makutano ambapo Mbunge wa Musoma mijini na timu yake wamefika ktupokea.
Mbele yangu hapa stendi ya Bweri naona umati mkubwa wa waandamanaji na bendera za CHADEMA
Tunashukuru sana Dada regia naomba uendelee kutuhabarisha hawa wengine tuachie sisi tutamalizana nao roho zinawauma sana tokea juzi.Mbele yangu hapa stendi ya Bweri naona umati mkubwa wa waandamanaji na bendera za CHADEMA
Zitto yuko wapi wajama?
Sijamsikia juzi,jana na hata leo!
Au yuko ofisini yeye,....na mnyika pia
Remember you can't put your eggs in one bascket! Hon. Zitto & Hon. Mnyika are attending to other national building errands, usishangae kutowaona au kutowasikia.
naona cdm inazidi kupoteza umaarufu kanda ya ziwa haiwataki juzi walikuja kusikiliza mziki
Hivi Kikwete huwa anatembea na wabunge wote 200.Zitto yuko wapi wajama?
Sijamsikia juzi,jana na hata leo!
Au yuko ofisini yeye,....na mnyika pia
chdm naona inakosa nguvu
Masikini hawawakubali
Mamluki wa Gaddafi wenye silaha wamekamatwa na raia wasio na silaha itakuwa mamluki wa CCM ambao hawana hata silaha za moto. Your days are NUMBERED:mullet:
Mtaendelea kukana obvious hadi lini ninyi mental blinds
CCM chama cha Matajiri siyo
CCM chama cha Matajiri siyo
Unataka mwenye viagra, siku nne mfululizo inafanya mikutano kwanini isikose nguvu.chdm naona inakosa nguvu
Masikini hata watu hawawakubali