Mbaneingoma Zom
JF-Expert Member
- Feb 23, 2011
- 201
- 14
Fanyeni ujinga wenu wa maandamano huko huko kwa Wakatoliki wenzenu, lakini msije Dar kwa Waislamu. Mkija Dar, mtaona mapamabano kati ya Chadema-Christian Party na Waislamu. Ondoeni upuuzi wenu, uchaguzi umeshapita fanyeni kazi ili mujenge taifa.
Huko Dar tunakuja subiri labda hujajua mafisadi wenzakko sasa wanahanyahanya wewe ni mjinga usiyejua nguvu tuliyonayo ila subiri muda si mrefu tutafika ikiwa ni kweli kuwa hatujafika Dar kwa akili zako zilizoota ukungu. iwe ni cha kidini au cha kikabila kazi yetu ni moja tu kuyabwaga mafisadi na watu wate wenye fikira mgando kama wewe watu wanapoxungumxia maendeleo ya nchi wewe unakazania udini. Subiri. utakutana na nguvu ya uma hivi karibuni.