The freedom is arround the corner!
Tafsiri yake ni kwamba hata ccm ikipenya 2015, huo ndio utakuwa mwisho wake rasmi!..kinacho furahisha ni kuwa majority ni vijana
utajiua kwa kihoroBado sana chadema. Hizi picha za Arusha mnasema Pugu, acheni kudanganya watu
Nimerudi jamvini. CCM oyee!
Nimependa ti shirt hizo za M4C that way mpaka 2015 kitaeleweka jitahidini sana
Bado sana chadema. Hizi picha za Arusha mnasema Pugu, acheni kudanganya watu
Nimerudi jamvini. CCM oyee!
Mimi sina tatizo na nyumba yake, tatizo langu ni kwa nini kaleta hapo wazazi wake? wamebomokewa nyumba? hawakuwa na makazi? au sasa ndio makazi yao ya mwanzo ambako walimzalia na kumkuza mtoto pinda hayawafai tena?
Tafsiri yake ni kwamba hata ccm ikipenya 2015, huo ndio utakuwa mwisho wake rasmi!..
Wazee wanaoikumbatia ccm leo, ndani ya miaka 10 ijayo watakuwa walishachanganyikana na udongo kwa kutumia nguvu ya bacteria!
Bado sana chadema. Hizi picha za Arusha mnasema Pugu, acheni kudanganya watu
Nimerudi jamvini. CCM oyee!
mkuu na ile hiace ya buguruni pugu nayo imefuata nn arusha?Bado sana chadema. Hizi picha za Arusha mnasema Pugu, acheni kudanganya watu
Nimerudi jamvini. CCM oyee!