n00b
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 1,006
- 2,667
Mhe. Lema leo alifuatana na makamanda wa CHADEMA wa jijini London kukagua moja ya vitendea kazi vya M4C ambapo pamoja na ununuzi wa vitendea kazi Lema atafungua tawi la CHADEMA London kesho Jumanne 7 Agosti, 2012 saa mbili usiku Thatched House Barking
Ni wazi kwa mtindo huu Lema ataendelea kuwa mwiba mkali na vuguvugu hili la M4C