washwa washwa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 1,613
- 717
Bed room!!Next time where will they be?
Bed room!!
Wote mabingwa wa kuuza sura na kupenda sifa za kijinga.
Bed room!!
Mkuu jamaa kasema Bed Room ndio kukosa Adabu? ha ha ha ha ha wakati washa washa ndio Le Mutuz kwa ID nyingine anapost hapa iweje?Tujitahidi kuwa na adabu huyu ni mama yake kumkosea adabu hivi haifai- jiulize ni wewe ungefurahi?
Mkuu jamaa kasema Bed Room ndio kukosa Adabu? ha ha ha ha ha wakati washa washa ndio Le Mutuz kwa ID nyingine anapost hapa iweje?
Mkuu Kwani hujasikia habari ya Songea?? sembuse wa kambo?Kama unadhani yuko sahihi kusema hivyo basi pole!!
Una mawazo mgando sana wewe, kwani mtu yeyote anayeingia bedroom kwako lazima umfanyeje????Tujitahidi kuwa na adabu huyu ni mama yake kumkosea adabu hivi haifai- jiulize ni wewe ungefurahi?
Mkuu Kwani hujasikia habari ya Songea?? sembuse wa kambo?
Mkuu kuna watu wa ajabu sana so lisemwalo lipo, Watanzania wamekuwa watu wa ajabu sana aise! ya Songea umesikia? Kijana na Mama yake mzazi for morev than ten years? grrrrrrrrrrrrrrrrrrrr!Kwangu mimi mama ni haramu lakini inaelekea mkuu wewe ni tofauti hivyo i rest my case!!!
Inawezekana wewe ni mama sofia Simba!