Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,416
- 12,604
Ma-HR wengine wanatumia hizi picha vibaya, wakishaiona picha ya mtu inavutia (hasa picha za wadada) watachukua no kwenye CV na kuanza kupiga simu ovyo, mara ooh umeomba kazi flani, mi naweza kukusaidia nk. Mwisho utasikia tuonane ili nikupe mikakati nk, ukiulizia pa kuonana utaambiwa hotelini. So bad.