Alfred Daud Pigangoma
JF-Expert Member
- Mar 30, 2009
- 1,826
- 966
linganisha na hapa mbona hapo hakuwepo watu??
wameletwa na maroli!!!!!
linganisha na hapa mbona hapo hakuwepo watu??
kwani nani huwa ziara yake sio kufuru? ulishawai kuona ziara ya lowassa hadi kuku huwa wanatoka mabandani
sijaona kitu hapo
labda kwenye ziara ya kwenda kusaini mikataba ya kifasadi! maana hapo kuku lazima wawepo tena wa kienyeji (mchemsho)kwani nani huwa ziara yake sio kufuru? ulishawai kuona ziara ya lowassa hadi kuku huwa wanatoka mabandani
sijaona kitu hapo
au ni misukule si unajua mitaa hiyo kwa iyo teknolojia wapo juu?
Kuna mtoto anaitwa bebii hapa, mwambieni akatafute boyfriend kule mmu.
linganisha na hapa mbona hapo hakuwepo watu??
Kuna mtoto anaitwa bebii hapa, mwambieni akatafute boyfriend kule mmu.
linganisha na hapa mbona hapo hakuwepo watu??
Cdm bwana, kaazi kweli kweli.