Picha, Kikwete - Pope Benedict nani mkali wa draft?

kakutana na mkuu wa makafir..wallah lazima tuandamane
Hata uyachukie lakini maji utayaoga tu, you can't do without them. Take it from me!!!! Utawachukia saaaaaaaaaana but at the end of the day, you'll find yourself loving them. Smart strategists never fight losing battles!!!!
 
Jamani kwani ukafir ninini? Ninavyojua mimi ukafir ni hali ambayo mtu haamini dini nyingine zaidi ya ile aliyonayo. Muislam ataiwa kafir kwa wakristo na mkristo ataitwa kafir kwa muislam na mpagani atawaita mkristo na muislam makafir, kwakuwa hawaamini upagani. kama maana halisi sio hiyo naomba ufafanuzi.
 
Jamani kwani ukafir ninini? Ninavyojua mimi ukafir ni hali ambayo mtu haamini dini nyingine zaidi ya ile aliyonayo. Muislam ataiwa kafir kwa wakristo na mkristo ataitwa kafir kwa muislam na mpagani atawaita mkristo na muislam makafir, kwakuwa hawaamini upagani. kama maana halisi sio hiyo naomba ufafanuzi.

sawa kwa nn aanzishe mada ya kukashifu namna hii hii inaleta uchochezi!!!!au mnataka watu wapigwe ban????
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom