MANGI MASTA
Senior Member
- Jul 14, 2011
- 175
- 56
Katika kupitia magazeti hapa na pale nikakutana nakauli iliyotolewa na CUF kumtaka KIKWETE kuvunja baraza la mawaziri kwa uozo lililonao.Mwananchi 16/february,2012.juzi chadema nao wakarudia waliyosema CUF.sasa kwanni JK asiitikie wito wa watanzania hawa badala yake anaendelea kutotii.Hii si dharau kwa watanzania waliowengi?