Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,885
- 6,885
Hichi chama kilichoitwa chama cha wafanyakazi na wakulima wanyonge kimegeuka kuwa chama cha mipasho,
Bora kama umeshtuka mkuu!!usimwambie mtu mwingine.Rasmi, Lowassa kugombea urais 2015
huyu anayemkatikia mauno rais wetu hapo ni mama salma? Ama ni yule mdogo?
hivi ingewezekana kumkatia mauno kambarage kama hivi?
Acheni mambo yenu nyinyi, mziki unahusiana nini kwenye kusherehekea.hivi ingewezekana kumkatia mauno kambarage kama hivi?
Hapo kwenye RED umekosea au ulikuwa unamaniisha ni aina nyingine hii ya ubunge?Hichi chama kilichoitwa chama cha wafanyakazi na wakulima wanyonge kimegeuka kuwa chama cha mipasho,
chama cha kukata mauno na viduku,
chama cha kugawa nafasi za ubunge wa vitanda maalumu, chama chenye mfumo wa biashara na unyonyaji,
chama chenye mashindano ya kulipiziana visasi,
chama cha kumega deal juu ya bega la mswahili.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
usije shangaa kukuta ni mbunge wa viti maalum!
Sijakosea, ndo aina hiyo hiyo niliyoandika.Hapo kwenye RED umekosea au ulikuwa unamaniisha ni aina nyingine hii ya ubunge?
Bado hujajibu swali.Acheni mambo yenu nyinyi, mziki unahusiana nini kwenye kusherehekea.
Kambarage ni kajamaa flan tu kalitaka kujifanya kana akili pekee yake nchi nzima alafu kalijipa cheo cha uungu mtu.
Wacha mheshimiwe afurahi bana nyie chukueni time
tumeshachukua.Acheni mambo yenu nyinyi, mziki unahusiana nini kwenye kusherehekea.
Kambarage ni kajamaa flan tu kalitaka kujifanya kana akili pekee yake nchi nzima alafu kalijipa cheo cha uungu mtu.
Wacha mheshimiwe afurahi bana nyie chukueni time
tena ambao kazi inayoogopwa ma wengi ndio ilikuwa yao kazi ya geshi.aminia mara.yaani mwalimu mzima afanye hivi? tena alikuwa mtu kutoka mkoa wa watu serious watu wa kanda ya ziwa wengi hawacheki cheki