Kirode
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 3,566
- 82
Wajinga
Si mara ya kwanza na wala haitakuwa ya mwisho. Huyo ndiye Rais wa wote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si mara ya kwanza na wala haitakuwa ya mwisho. Huyo ndiye Rais wa wote.
Mkuu hao walikuwa wana-complicate maisha, huyu yupo simple kama Zuma Jacob alivyo kule bondeni.Mbona haya mambo sikuwahi kuyaona wakati wa Ben, Mwinyi au Nyerere? Kipindi hiki mambo tofauti kabisa jamani!!!
Si mara ya kwanza na wala haitakuwa ya mwisho. Huyo ndiye Rais wa wote.
Haaaaa!! mbona naona kama kamshika maziwa?
Kikwete akijiburudisha baada ya kazi nzito iliyochukua karibu wiki zima Dodoma kukamilika. Kazi na dawa
Kikwete akijiburudisha baada ya kazi nzito iliyochukua karibu wiki zima Dodoma kukamilika. Kazi na dawa
Kikwete akijiburudisha baada ya kazi nzito iliyochukua karibu wiki zima Dodoma kukamilika. Kazi na dawa
NYERERE alikuwa serious sana . Pia alikuwa na maadui wengi sana ndani na nje ndio maana alikuwa anaishi kama digidigi. MWINYI alikuwa mtu wa dini na mswalihina alipenda michezo ila watanzania walimuuzi akawaona kichwa cha mwendawazimu. MKAPA alikuwa na sura mbaya (hadi ilibidi apigwe picha 3000 kupata picha nzuri ), roho mbaya, jeuri, mtemi , aliwadharau watanzania wote hadi waandishi wa habari. KIKWETE MTU WA WATU, HANDSOME, ANAKUBALIKA KUANZIA NYUMBANI ,KENYA ,ULAYA NA MAREKANI. KUANZIA OBAMA ,50 CENTS HADI DIAMOND.
Je vipi haendi un mwaka huu au anaogopa madongo ya kuitwa sindbad?
Kaolewa ni PMhuyo mama anayemchezea hivyo kaolewa?
kucheza acheze sana lakini akumbuke kuna watu wana mlo mmoja kwa siku mbili