Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,145
- 13,216
View attachment 80780
Najua watani wa jadi watatiririka hapa
Najua watani wa jadi watatiririka hapa
Ndicho Walichokifuata huko kuhongwa na Mamende wa Kisultanate
hapana wadau ana maduka yake ya nguo kwa hiyo ameitumia fursa, mkumbuke pia kwamba wameunganisha toka kambi ya Straz kwa hiyo fungu lipo hapoOman wiki moja tu ndiyo arudi na mafurishi yote hayo, au walipiga dili kama lile la mabondia waliokwenda "Maurishiazi" miaka ileeee?????
View attachment 80780
Najua watani wa jadi watatiririka hapa
matokeo ilikuwaje?